David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
[emoji478][emoji478]Habarini? yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game [emoji452] hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo likapita,mgogoro umefika mpaka kwa wazee wa kanisa lakini hakuna solution ,juzi niliforce tena akaenda police kushtaki nimembaka nikawekwa lockup [emoji359] leo asubuhi ndio nimetoka police [emoji601].
Nimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili .
Kwa sisi Christians inawezekana? Kama haiwezekani vipi nikiamua kufunga ndoa ya kiserikali?
Nashukuru Mungu mimi sio mkristo kwasbb huo ujinga siwezi kuuvumilia hata wiki mbili tu.Habarini? yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game [emoji452] hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo likapita,mgogoro umefika mpaka kwa wazee wa kanisa lakini hakuna solution ,juzi niliforce tena akaenda police kushtaki nimembaka nikawekwa lockup [emoji359] leo asubuhi ndio nimetoka police [emoji601].
Nimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili .
Kwa sisi Christians inawezekana? Kama haiwezekani vipi nikiamua kufunga ndoa ya kiserikali?
Km wewe ni msabato ni chap tu Ila km RC sahauNimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili
Wasabato wanaruhusiwa kuoa me zaidi ya mmoja?Km wewe ni msabato ni chap tu Ila km RC sahau
โ๏ธ
Sio mchezo Ng'ombe anapanda bodabodaupwiru wa mwaka mzima
Pumbavu nini ,!!Wapi nimefanya ufuskaAcha ufuska ndugu yangu.
Habarini? yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game ๐ฎ hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo likapita,mgogoro umefika mpaka kwa wazee wa kanisa lakini hakuna solution ,juzi niliforce tena akaenda police kushtaki nimembaka nikawekwa lockup ๐ leo asubuhi ndio nimetoka police ๐.
Nimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili .
Kwa sisi Christians inawezekana? Kama haiwezekani vipi nikiamua kufunga ndoa ya kiserikali?
Ndio hivyo ndoa navunja kwa kuoa mke wa piliNikwambie ukweli au nikuache. Any way acha nikwambie ukweli. Hiyo ndoa imesha vunjika, mkeo anakutafutia sababu tu. Mkeo hakupendi na atakuwa na mwanaume. Wewe unafikiri ukioa au ukiwa na mwanamke mwingine yeye ataumia, eti utampandisha cheo..yaani umpandishe cheo mtu ambaye ameshakuacha?
Ushauri wangu. Vunjo ndoa kwanza kabla ya kufikiria kuoa. Ndoa zinavunjwa mahakamani siyo kanisani
Mzee tunajua una upwiru punguza jaziba MzeePumbavu nini ,!!Wapi nimefanya ufuska
Kwa jambo lako la pili hata usiumize kichwa, oa mke wa pili fatserHabarini? yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game ๐ฎ hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo likapita,mgogoro umefika mpaka kwa wazee wa kanisa lakini hakuna solution ,juzi niliforce tena akaenda police kushtaki nimembaka nikawekwa lockup ๐ leo asubuhi ndio nimetoka police ๐.
Nimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili .
Kwa sisi Christians inawezekana? Kama haiwezekani vipi nikiamua kufunga ndoa ya kiserikali?
Aoe alafu ahamie mitala au sio ?Ukishafikiri tu kuoa mke wa 2 wewe sio Mkristo, then oa tu.