Nipeni muongozo mimi ni mkristo nataka kuongeza mke wa pili

Nipeni muongozo mimi ni mkristo nataka kuongeza mke wa pili

Pumbavu nini ,!!Wapi nimefanya ufuska
We ni mfuska mamaae wewe

Achana na mke wa kwanza oa mwingine.

Mkristo gani wewe unaetaka kusaidia kuoa mke wa pili

Manina wewe, hamjui madhara ya wake wengi baadae katika harakati za familia mbili
 
We ni mfuska mamaae wewe

Achana na mke wa kwanza oa mwingine.

Mkristo gani wewe unaetaka kusaidia kuoa mke wa pili

Manina wewe, hamjui madhara ya wake wengi baadae katika harakati za familia mbili
Punguza jaziba
✍️
 
Habarini? yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game 🎮 hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo likapita,mgogoro umefika mpaka kwa wazee wa kanisa lakini hakuna solution ,juzi niliforce tena akaenda police kushtaki nimembaka nikawekwa lockup 🔐 leo asubuhi ndio nimetoka police 🚔.
Nimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili .
Kwa sisi Christians inawezekana? Kama haiwezekani vipi nikiamua kufunga ndoa ya kiserikali?
duuh watu mna uvumilivu. uliwezaje aisee. mwaka na nusu, wewe mbinguni njia ni nyeupe 😂 😂 😂
yaani siku hiyo ya kwanza angerudi kwao
 
Haya ndio matatizo ya kujiweka kwenye imani ambazo hata hatujui chimbuko lake, katika tamaduni za mtu mweusi mwanaume unaweza kuwa na mke zaidi ya mmoja na hiyo ndio asili yetu. Ongeza mke huyo super woman mpandishe cheo ila mpunguzie mshahara.
 
We ni mfuska mamaae wewe

Achana na mke wa kwanza oa mwingine.

Mkristo gani wewe unaetaka kusaidia kuoa mke wa pili

Manina wewe, hamjui madhara ya wake wengi baadae katika harakati za familia mbili
Vitu kama hivi wakubwa wakiwa wanajadili kaa pembeni bwana mdogo
 
Ukishafikiri tu kuoa mke wa 2 wewe sio Mkristo, then oa tu.
Acha kumtisha wewe ,maisha sio magumu kiasi hicho kuishi na mke asiyetaka tendo ni jinai iliyojificha,hicho kiapo Cha mpk kifo kitakapotutenganisha hakijakizi uhalisia wa kibanadamu
 
Habarini? yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game 🎮 hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo likapita,mgogoro umefika mpaka kwa wazee wa kanisa lakini hakuna solution ,juzi niliforce tena akaenda police kushtaki nimembaka nikawekwa lockup 🔐 leo asubuhi ndio nimetoka police 🚔.
Nimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili .
Kwa sisi Christians inawezekana? Kama haiwezekani vipi nikiamua kufunga ndoa ya kiserikali?
Nenda kapate ushauri kwa wazee wa kanisa watakupa jibu zuri sana
 
Hela unazo? Kama unazo tafuta mchepuko muweke standard kuwa unaenda kupumzika huko kwa mkeo nenda kusalimia tu. Mchepuko akishakuzalia weka wazi kika kitu mke akitaka aondoke atajuwa mwenyewe.

Nb. Mkeo ana kiserengeti kinamkunja ndo maana haba time na wewe.

Huu moto nimeisha uwasha ongeza na petrol
 
Back
Top Bottom