Nipeni muongozo mimi ni mkristo nataka kuongeza mke wa pili

Nipeni muongozo mimi ni mkristo nataka kuongeza mke wa pili

Habarini? yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game 🎮 hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo likapita,mgogoro umefika mpaka kwa wazee wa kanisa lakini hakuna solution ,juzi niliforce tena akaenda police kushtaki nimembaka nikawekwa lockup 🔐 leo asubuhi ndio nimetoka police 🚔.
Nimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili .
Kwa sisi Christians inawezekana? Kama haiwezekani vipi nikiamua kufunga ndoa ya kiserikali?
BADILI DINI, HAMIA INAYORUHUSU MKE ZAIDI YA MMOJA..!!
 
Nilichogundua kwny ndoa
Ukililia Sana penz la mkeo atalitumia kama silaha kivita ili kukuvuruga sana kisaikolojia.

Solution ya Hilo sio kuoa mke wa pili,
Ni kuTafuta Mchepuko ili uwe unajipoza nyeg uko afu ukirud nyumban mwepesi huna tabu na mtu

Yaani Humsemeshi Wala humgusi hata mwezi mzima uone atakavyojistukia[emoji4]

NI UDHAIFU SN MWANAUME KULILIA PENZ LA MKEO WANAWAKE WOTE HAWA MITAANI WAMEJAA[emoji4]
 
Acha kumtisha wewe ,maisha sio magumu kiasi hicho kuishi na mke asiyetaka tendo ni jinai iliyojificha,hicho kiapo Cha mpk kifo kitakapotutenganisha hakijakizi uhalisia wa kibanadamu

Sijamtisha, nimemwambia anakufa? Nilichomwambia swala la mke 1 au 2 ni very basic kwenye Imani, kwa hiyo aoe.

Ukristo sio uhalisia wa kibinadamu, ni misingi ya kumfuata Kristo, yeye aoe tu kama anataka.
 
duuh watu mna uvumilivu. uliwezaje aisee. mwaka na nusu, wewe mbinguni njia ni nyeupe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
yaani siku hiyo ya kwanza angerudi kwao
Aisee jamaa ana Moyo Sana
Binafs mwezi kutoboa siwez kabisa[emoji4]
 
Unajua watu ni wa ajabu sana, kuna watu humu wanachochea idea ya huyu pururu kuongeza mke wa pili.

Lakini watambue nature ya uke wenza kwa miaka ya generation hii, na sio ile ya babu na baba zenu.

Majitu humu hayatambui consquences zitakazo fata baadae.

Sasa mtu unaona hauwezani na huyo mke wako, kwa nini usilete mjadala wa taraka ili muachane kwa amani na muangalie jinsi ya kulea watoto.

Tofauti na hapo unataka tu kumukomoa mke wa kwanza au unaogopa kugawana nae mali.

Na wala usije ukadhani mke wa pili ndio suluhisho, magumu utapitia tu ndugu yangu na huyu new wife.

ACHANA KWANZA NA MKE WA KWANZA, OA WA PILI TOFAUTI NA HAPO UNAENDELEA KUKUZA TATIZO.

NOTE: ACHA UFUSKA.
 
Hela unazo? Kama unazo tafuta mchepuko muweke standard kuwa unaenda kupumzika huko kwa mkeo nenda kusalimia tu. Mchepuko akishakuzalia weka wazi kika kitu mke akitaka aondoke atajuwa mwenyewe.

Nb. Mkeo ana kiserengeti kinamkunja ndo maana haba time na wewe.

Huu moto nimeisha uwasha ongeza na petrol
Afike Bei nimwachie mamaJ wangu[emoji4]
 
Unajua watu ni wa ajabu sana, kuna watu humu wanachochea idea ya huyu pururu kuongeza mke wa pili.

Lakini watambue nature ya uke wenza kwa miaka ya generation hii, na sio ile ya babu na baba zenu.

Majitu humu hayatambui consquences zitakazo fata baadae.

Sasa mtu unaona hauwezani na huyo mke wako, kwa nini usilete mjadala wa taraka ili muachane kwa amani na muangalie jinsi ya kulea watoto.

Tofauti na hapo unataka tu kumukomoa mke wa kwanza au unaogopa kugawana nae mali.

Na wala usije ukadhani mke wa pili ndio suluhisho, magumu utapitia tu ndugu yangu na huyu new wife.

ACHANA KWANZA NA MKE WA KWANZA, OA WA PILI TOFAUTI NA HAPO UNAENDELEA KUKUZA TATIZO.

NOTE: ACHA UFUSKA.
Umeona haitoshi umeamua Uniite pururu?
 
Habarini? yafika mwaka mmoja na nusu sasa sijawahi kushiriki tendo la ndoa na wife nikijaribu kuomba game [emoji452] hataki kuna kipindi niliforce akanipeleka ustawi wa jamii kwamba nimembaka ilo likapita,mgogoro umefika mpaka kwa wazee wa kanisa lakini hakuna solution ,juzi niliforce tena akaenda police kushtaki nimembaka nikawekwa lockup [emoji359] leo asubuhi ndio nimetoka police [emoji601].
Nimepanga nimpandishe cheo nione mke wa pili .
Kwa sisi Christians inawezekana? Kama haiwezekani vipi nikiamua kufunga ndoa ya kiserikali?
Kutoka 21:10Biblia Habari Njema (BHN)

Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa.



Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kuwa na mchepuko akanipa gonorrhea ikabidi niwe napiga mgalala
Utakua umetafta mwanmke mchafu asiyejitambua, anayelalwa hovyo hovyo.

tafuta Mchepuko single na classic mwny minyenge mshindo anayejipenda na kujithamini utaenjoy mema ya dunia.

Migogoro Kwny ndoa yako utaiskia kwa majirani na kuisoma kwenye nyuzi za jf TU[emoji4]
 
Katika maagano ya ndoa sex ni haki ya kila mmoja kwa maelewano ya kindoa. Huyo mwanamke ndoa hawezi, akawe tu single mother. Nawe mwanaume, huoni hao wanawake? Jitulize kwanza kwemye nyumba mdogo.
 
Huyo mwanamke alivyo mshenzi ukioa atakuburuza mahakaman, jyst funga ndoa ya kimila isiyo na cheti, then mjengee nyumba mke mdogo mfurahie maisha usifanye hata sherehe, katie mahari kisirisiri then muishi. Option ya 2 ambayo ni halali kabisa, badili dini ysilim na ukishasilim oa mke kihalali msikitini hawezi kukushtaki.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Unajua watu ni wa ajabu sana, kuna watu humu wanachochea idea ya huyu pururu kuongeza mke wa pili.

Lakini watambue nature ya uke wenza kwa miaka ya generation hii, na sio ile ya babu na baba zenu.

Majitu humu hayatambui consquences zitakazo fata baadae.

Sasa mtu unaona hauwezani na huyo mke wako, kwa nini usilete mjadala wa taraka ili muachane kwa amani na muangalie jinsi ya kulea watoto.

Tofauti na hapo unataka tu kumukomoa mke wa kwanza au unaogopa kugawana nae mali.

Na wala usije ukadhani mke wa pili ndio suluhisho, magumu utapitia tu ndugu yangu na huyu new wife.

ACHANA KWANZA NA MKE WA KWANZA, OA WA PILI TOFAUTI NA HAPO UNAENDELEA KUKUZA TATIZO.

NOTE: ACHA UFUSKA.
Kuongeza MKE wa pili ukiwa Kwny Mgogoro na MKE mkubwa Ni kuleta janga jingine Kwny familia.

Solution Ni kupata Mchepuko wa kudumu,
Akishajiridhisha ndo ampandishe cheo kua MKE mdg.

Ila sio kukurupuka kuoa bi mdg Kama hivi[emoji4]
 
Nikwambie ukweli au nikuache. Any way acha nikwambie ukweli. Hiyo ndoa imesha vunjika, mkeo anakutafutia sababu tu. Mkeo hakupendi na atakuwa na mwanaume. Wewe unafikiri ukioa au ukiwa na mwanamke mwingine yeye ataumia, eti utampandisha cheo..yaani umpandishe cheo mtu ambaye ameshakuacha?

Ushauri wangu. Vunjo ndoa kwanza kabla ya kufikiria kuoa. Ndoa zinavunjwa mahakamani siyo kanisani
Kuvunja ndoa kama wana mali ni shida

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke kakosea...
Ila
Nataka kisikia upande wa pili wa mwanamke...

Hapa kuna yaliyonyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom