Unajua oneforma inamilikiwa na Pactera Edge, mimi nliwahi fanya na Pactera Edge walikuwa wanalipa kila mwez via paypal. Oneforma sijawahi fanya maana wana kazi ambazo ni sawa na Appen. Mimi kuna kazi ambazo uwa sifanyiSema Oneforma wadwanzi mkuu! Nimefanya kikazi cha dola kama 10, miezi miwili hawalipi!
Unawatumia kupokea? Equity ni wazur
Kumbe wewe ni fx trader, mimi sio trader mkuu. Uwa napokea tu, na crdb uwa nikitumiwa pesa uwa ni siku mbili inasoma kuna muda mwingne kesho yake tu ishasomaKuweka na kupokea
Kumbe wewe ni fx trader, mimi sio trader mkuu. Uwa napokea tu, na crdb uwa nikitumiwa pesa uwa ni siku mbili inasoma kuna muda mwingne kesho yake tu ishasoma
Lakini kwanini usifanye transfer ya mastercard au visa via skrill to your acc mbona ni instant mkuuAaah sawa
Kwa kweli naendelea kusikiliza zaidi , halafu nitaingia kwenye app ili nione zikoje.. Asante kwa wote mnaotoa ujuzi wa online income , hata ikiwa kidogo kiasi...Appen, toloka, picoworker ingawa toloka na picoworker ni nzuri maana zinalipa kwa skrill hamna longolongo, lakini changamoto ndo hivyo pesa kidogo $2 mpaka 10 kwa siku.
me pia natumia WIFI na nalipwa kidogo broHukunielewa naona.. Mimi hua natumia WiFi so nikijiunga hapo sitalipwa coz wanataka mi ndo nisuply
Okay mkuu. Naamini miaka mitano baadaye tutakuwa tunazungumza lugha nyingine! [emoji23]Asante sana mkuu
Ohoo poame pia natumia WIFI na nalipwa kidogo bro
Okay kwavile ni bure ngoja tupambane nayo
Hicho ndio cha muhimu. Hauna cha kupoteza, usisahau kujisajili kwa level zote mbili ili uweze kuclaim token zako.Okay kwavile ni bure ngoja tupambane nayo
Unaposema kwa level zote mbili Una maana gani kaka?Hicho ndio cha muhimu. Hauna cha kupoteza, usisahau kujisajili kwa level zote mbili ili uweze kuclaim token zako.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kwanini aachane nazo mkuuHizi online money achana nazo, fungua genge tu.. Hyo 2$ utakua unaipata
Level ya kwanza unatuma majina yako na kitambulisho. Wakishahakiki unaingia level ya pili ambapo unatuma passport na kipande kifupi cha video.Unaposema kwa level zote mbili Una maana gani kaka?
Habari ndugu eb nipe mwangaza kidgoEla nayolipwa directly uwa naipokea crdb japo sasa hv nimefungua bank abc dollar account