Mkuu nina swali ukitumia line za Bongo kama Vodacom (M-Pesa VISA cards) linked na PayPalBeginner
enrollapp.com
Legend
We Test.com
Testerwork.com
Usercrowd.com
Nahitaji
Bando La Muda Wote Online
Strong Reliable VPN
Lain Ya Safar Com Kenya
Kuwa Smart Kwenye Kufanya hizo Kazi
Fuatilia hayo Utanikumbuka
Invite friends mkuu,na verification tu.Hongera sana mkuu. Zimefikaje 80 maana nikipiga hesabu kwa mwezi napata kama 14 kama nikiwa serious sana.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hongera sana mkuu. Yap kama upo 80 hadi mwezi wa saba utakuwa mbali.Invite friends mkuu,na verification tu.
Nataka ikiwa launched nisiwe na chini ya 100.
Hv ushawahi to pesa huki sagapoll?Donnie Charlie has invited you to try SagaPoll. Click here to download the app and both you and your friend will get additional points.
invite.sagapoll.com/QTTJY
hapana, tangu niingie ndio kwanza nina point 3000, tena hapo nina karibu two month.Hv ushawahi to pesa huki sagapoll?
Hizi site zimekuwa nyingi sana naona hadi Upwork wananiinvite kila siku nafanya kuwapiga block maana ...
una comfirm order unapata commission pia ukiinvite unalipwa....
pia ukiamua kuinvest kiwango cha chini 10k
Ngoja nichek
una comfirm order unapata commission pia ukiinvite unalipwa....
pia ukiamua kuinvest kiwango cha chini 10k
Hizi site zimekuwa nyingi sana naona hadi Upwork wananiinvite kila siku nafanya kuwapiga block maana ...
Basi hawa sawa hata jina lao linajieleza sio unakuta et sijui nini.xyz website ya ajabu unaona kabisa hii fake.hawa naona wanajitahid hata website yao ipo vizuri mm mwenyewe na block invite za platform ambazo sizielewi. binafsi hawa na SME naona wapo vzuri japo hawa commission inazid kidgo na ina support mobile payment mitandao yote vizuri kabisa na faida ni hapo hapo ukicomplete order zao.
siohadi kulipwa kwa kila saa...View attachment 2200437
Sikia mkuu, hizi website zote zina kitu kimoja in common "UTAPELI" its just a matter of timeBasi hawa sawa hata jina lao linajieleza sio unakuta et sijui nini.xyz website ya ajabu unaona kabisa hii fake.
Ushapata faida mkuu baada ya hizo siku 23?Sikia mkuu, hizi website zote zina kitu kimoja in common "UTAPELI" its just a matter of time
Mimi binafsi nmejiunga na website moja inajiita "dealno1" nimewekeza kama laki mbili ivi, na yenyewe kazi yake ni kucomplete orders ivyo ivyo kwa hesab zao hela yako inakua double after 23 days
Kwahyo mi nacheza na timing najua kupigwa kupo ila ndo ivyo nmerisk tu kwasabab nawaona bado ni wapya ndo wameanza najua kipigo kitakuja baadae watu wakishakua wengi, ila kwasasa acha nile faida chap af nisepe
Ndio mkuu, nilianza na laki mbili, siku 23 za mwanza hela ilikua imedouble kwahyo nilitoa laki mbili nkabakiza laki mbili kwenye akauntUshapata faida mkuu baada ya hizo siku 23?
Mkuu una hakika umetoa pesa kweli au unataka kupata referral?Sema izi platform za kuverify orders sahizi zipo nyingi sana, kuna moja nmejiunga juzi yenyewe ukikamilisha tu usajili unapewa $15 ambayo ukicomplete orders kwa siku 3 ndo unaruhusiwa kuitoa
Kwahyo mi nmejiunga baada ya kucomplete orders kwa izo siku 3 salio likaongezeka zikafika $22 nimezitoa nasubir iddi
Ukipata mda pitia iyo platform [emoji116]
Jiunge walau upate kapesa ka kula sikukuu
Ukikwama nicheki tsapp0710705075
Najua 100% ni scam na ndo mana sijaweka hela yangu yoyote ila nimetoa $22 baada ya kuitumia siku 3Mkuu una hakika umetoa pesa kweli au unataka kupata referral?
Hii kitu imefunguliwa tarehe 18 mwezi huu, yani week moja iliopita...
Yani ina dalili ya kuwa ni scam site kwa 99.9%
Hahah umechanga karata zako vizuriNajua 100% ni scam na ndo mana sijaweka hela yangu yoyote ila nimetoa $22 baada ya kuitumia siku 3
Alieanzisha hii platform anataka kuvuta watu wengi ili aje awapige vizuri ndo mana ukijiunga tu unapewa $15 sasa ikitokea umeingiwa na tamaa ukaamua kuwekeza ili upate hela nyingi zaidi, apo sasa utakutana na kitu kizito
Mishe za referal na kuwekeza wekeza ndizo zina hatari. Ila ukifanya kazi za ukweli ukweli huko fresh unapiga mkwanja wako bila tatizomishe za online ni kuviziana kama paka na panya hahaha
Nielekeze unaitumia vp nimeshajisajili.Najua 100% ni scam na ndo mana sijaweka hela yangu yoyote ila nimetoa $22 baada ya kuitumia siku 3
Alieanzisha hii platform anataka kuvuta watu wengi ili aje awapige vizuri ndo mana ukijiunga tu unapewa $15 sasa ikitokea umeingiwa na tamaa ukaamua kuwekeza ili upate hela nyingi zaidi, apo sasa utakutana na kitu kizito