Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Ata sina mkuu nami nilibatisha humu humu
Tangu nianze kutumia premise nimefanya kazi za picha mbili tu ya kupga makaburi na vyakula fulan Hv bt nafanya sana zle za shilingi 60
 
Tangu nianze kutumia premise nimefanya kazi za picha mbili tu ya kupga makaburi na vyakula fulan Hv bt nafanya sana zle za shilingi 60
Hii mm inanipa vivocha vya hapa na pale
 
Kupiga picha unakuwa unaangalia, unapiga kwa kuvizia mfano mim juzi nilipewa task ya kupiga picha kanisa au msikiti, nikaenda nikasimama mbali sana nikapiga picha kanisa badae wakataka nipige na kibao chake na kibao kilikuwa ndani nikaamua kupiga picha rami nikasubmitt, kesho yake mpunga ukaingia kama kawaida ukaongeza balance
Mkuu samahani hiyo application yake inaitwaje
 
Back
Top Bottom