Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Ata sina mkuu nami nilibatisha humu humu
Tangu nianze kutumia premise nimefanya kazi za picha mbili tu ya kupga makaburi na vyakula fulan Hv bt nafanya sana zle za shilingi 60
 
Tangu nianze kutumia premise nimefanya kazi za picha mbili tu ya kupga makaburi na vyakula fulan Hv bt nafanya sana zle za shilingi 60
Hii mm inanipa vivocha vya hapa na pale
 
Mkuu samahani hiyo application yake inaitwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…