Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Njoo nikupe njia
 
Boss naomba nitajie hiyo application
 
Kwa uhakika Mimi nimejiunga na kuifanyia kazi Scatec hii inalipa kweli na hakuna hela inayotakiwa kulipiwa kabla.
Unatakiwa Ku jisajili Kwa namba yako ya Simu baada ya kujiunga unapokea 6,000 ya kujiunga, then utatatkiwa kusambaza link Kwa watu wako, Kila atakayejiunga kwako itaingia 400 na Kila siku utakuwa unaingiza 300.

Kama utatuma link nyingi na kuweza Ku upgrade unaweza kuingiza mapaka 70,000 Kwa sikuku.

Kama unataka kujiunga link hii hapa jiungeni




 

Hizi fursa ni ngumu kuwekwa wazi ikiwa mjuvi hatanufaika kwa chochote

Mfano watu walimint nft ya bored ape mwaka jana kwa dollar mia mbili ila mpaka sasa kuna ambao wameuza kwa dollar millioni moja ndio sasa tunaanza kusikia kelele za nfts
 
Fungua magroup ya kulipisha ya WhatsApp unakotoa movie daily kwa kiasi fulani kwa mwezi.

Mf. Group la K. Dramas, la Action Movies, la Comedy na RomComs, etc.

Nenda fb toa mabandiko kua anaetaka group la movie za.... daily abofye link kujiunga. Unaweza yajaza ndani ya siku mbili au tatu.

Toa andiko humo kwenye post kuwa week ua kwanza /au siku 5 za kwanza ni bure na baada ya hapo utaanza lipisha walau buku kwa mwezi . Wengi wata leave. Wengi watabaki.

So, groups tano, ukibaki hata na watu 35 per group, hio ni 35 x 1,000 x 5 ni laki na 75 kila mwezi.

Ukiigawa kwa siku 28, unakuwa unaingiza approx. 6,200 per day. Hio ni roughly $2 lakini unaipata kwa ki Tz.

Changamoto utakayokutana nayo, ni mishe nzima ya kupost muvi kila siku inachosha, so unaweza zembea zembea ukakuta unapoteza watu.

***Vijana wengi siku hizi wa ovyo, badala ya muvi ukisema unapost zile mambo za wakubwa hata kwa buku mbili kwa mwezi, utawadaka wengi. Ila inachosha pia, na kama una moral code ni ngumu kumantain.
 
E-BOOK huyapa tiali inakuoa muongozo mzuri wa UPWORK
Sehemu.....01
1)Jinsi ya kujiunga
2)Jinsi ya Kuandika Title
3)Kunadika Overview
3)Kuandika Cover Letter
4)Temrnologies Muhimu
4)Jinsi ya Kuset kupokea malipo

Sehemu...02
1) Skillsets unazoweza kuuza
2) Skillsets rahisi kujifunza na Software tools zake
3)Sehemu unapoweza jifunza
4)Skills zinazolipa
5) Skills ya Product Designing

BEI 5000 TZS
 
Karibu nikupe application ya Netflix ambayo haina malipo ya kila mwezi, uangalie movie yeyote unayo itaka milele bila kulipia malipo ya mwisho wa mwezi.

(Kumbuka application ya kawaida itakudai malipo yasiyopungua elfu 20 kila mwezi ili uendelee kupata huduma ya kuangalia movie, ila hii ninayo kupa mimi haina hayo malipo ya kila mwezi, yaani ni BUUUREEEE kabisa)

Nitakupa application hii kwa 5000 tu.

Karibu Whatsapp 0620181872[emoji91][emoji91]
 
Wadau nina mtaji wa 100,000 niwekeze wapi online sitaki zile za kubahatisha kama betting
 
Anae jua zinapo uzwa hizi material za kutengenezea bracelet aniungamishe nao. Ikiwa ndani ya Morogoro, Arusha, Kilimanjaro, Tanga au Daslamu itakua poa zaidi maana ni maeneo ya karibu na nilipo.


Natanguliza shukrani
 

Attachments

  • 20220907_083240.jpg
    35.7 KB · Views: 54
  • 20220907_083251.jpg
    23.9 KB · Views: 43
Wabongo ni wachoyo sana kukupa siri ya hatua zote za mafanikio. Tangu uzi uanze aliyetoa jibu sahihi kwa mujibu wa swali langu ni mmoja tu, aliyesema nijaribu appen na oneforma. Waliobaki wote wanazunguka tu.
True, na wengine hawapendi kuitwa Mataperi, thats why wanawachora tu....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…