Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Anae jua zinapo uzwa hizi material za kutengenezea bracelet aniungamishe nao. Ikiwa ndani ya Morogoro, Arusha, Kilimanjaro, Tanga au Daslamu itakua poa zaidi maana ni maeneo ya karibu na nilipo.


Natanguliza shukrani
Nenda Kariakoo, Opposite Big Born...!
 
Watu wana kuwa wanadownload movie/series via whatsapp..? Au unawapostiablink ku download?
Fungua magroup ya kulipisha ya WhatsApp unakotoa movie daily kwa kiasi fulani kwa mwezi.

Mf. Group la K. Dramas, la Action Movies, la Comedy na RomComs, etc.

Nenda fb toa mabandiko kua anaetaka group la movie za.... daily abofye link kujiunga. Unaweza yajaza ndani ya siku mbili au tatu.

Toa andiko humo kwenye post kuwa week ua kwanza /au siku 5 za kwanza ni bure na baada ya hapo utaanza lipisha walau buku kwa mwezi . Wengi wata leave. Wengi watabaki.

So, groups tano, ukibaki hata na watu 35 per group, hio ni 35 x 1,000 x 5 ni laki na 75 kila mwezi.

Ukiigawa kwa siku 28, unakuwa unaingiza approx. 6,200 per day. Hio ni roughly $2 lakini unaipata kwa ki Tz.

Changamoto utakayokutana nayo, ni mishe nzima ya kupost muvi kila siku inachosha, so unaweza zembea zembea ukakuta unapoteza watu.

***Vijana wengi siku hizi wa ovyo, badala ya muvi ukisema unapost zile mambo za wakubwa hata kwa buku mbili kwa mwezi, utawadaka wengi. Ila inachosha pia, na kama una moral code ni ngumu kumantain.
 
Watu wana kuwa wanadownload movie/series via whatsapp..? Au unawapostiablink ku download?
Via WhatsApp, au Telegram . una activate zile Disappearing Messages na unakua unawapea kila baada ta interval fulani.

Kuwapa link ina defeat purpose maana wengi watao join humo hawatokua na idea ya kudownload movies husika
 
Njoo Kalynda hapa hapa dar ofisi zipo pale posta ni digital marketing ....mtaji kima cha chini ni 20,000/= unaclick mala 20 unapata commission yako haihitaji elimu Wala nguvu no rahisi tu watu tunaishi kama wafalme hapa mjini kwa hiyo kitu 0765497859
 
Anae jua zinapo uzwa hizi material za kutengenezea bracelet aniungamishe nao. Ikiwa ndani ya Morogoro, Arusha, Kilimanjaro, Tanga au Daslamu itakua poa zaidi maana ni maeneo ya karibu na nilipo.


Natanguliza shukrani
Nicheki PM nikuelkeze unapoweza kuyapata kwa morogoro lakini
 
haya sasa kumekucha kuna hii kitu inaitwa scatec inatoa shilingi elf 6 bure kwa members wapya. cha kufanya ni kubinya link hii hapa kisha jisajili alafu toa pesa telekeza account utakuja kunishukuru
[emoji116][emoji116][emoji116]
Mkuu msaada..malipo yanachukua muda gani kufika kwenye tigapesa yangu?
Ndo nimejiunga leo,kwenye withdraw nimeweka tigopesa yangu kupokea changu
 
haya sasa kumekucha kuna hii kitu inaitwa scatec inatoa shilingi elf 6 bure kwa members wapya. cha kufanya ni kubinya link hii hapa kisha jisajili alafu toa pesa telekeza account utakuja kunishukuru
[emoji116][emoji116][emoji116]
Wewe umetoa sh.ngapi?
 
haya sasa kumekucha kuna hii kitu inaitwa scatec inatoa shilingi elf 6 bure kwa members wapya. cha kufanya ni kubinya link hii hapa kisha jisajili alafu toa pesa telekeza account utakuja kunishukuru
[emoji116][emoji116][emoji116]
Taarifa ni kuwa SCATEC wamekimbia kama walivyo fanya DECI, watu wameshaliwa sana
 
Wadau nina mtaji wa 100,000 niwekeze wapi online sitaki zile za kubahatisha kama betting
Kijana changamkia FURSA. Jiongezee KIPATO kwa kushiriki kutangaza biashara mtandao (e-commerce)

Kwa maelezo zaidi bonyeza link ifuatayo na kujisahili (register)

 
Kijana changamkia FURSA. Jiongezee KIPATO kwa kushiriki kutangaza biashara mtandao (e-commerce)

Kwa maelezo zaidi bonyeza link ifuatayo na kujisahili (register)

 
Back
Top Bottom