Nipeni ushauri: Haya mahusiano na mtoto wa kigogo yananitesa

Nipeni ushauri: Haya mahusiano na mtoto wa kigogo yananitesa

Rudi shule
Screenshot_2024-01-28-00-49-47-839_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Proffesa narudije Tena shule
Wewe ni muongo, unapostigi vitu tofauti, sasa kamshahara ka laki tano hapo bado makato, utabaki na laki nne, halafu unadai unatembea kwenye V8, kazi ya take home ya laki nne ndo ya kusema mademu wanajipendekeza kwako? Acha uongo we mtoto.
 
Wewe ni muongo, unapostigi vitu tofauti, sasa kamshahara ka laki tano hapo bado makato, utabaki na laki nne, halafu unadai unatembea kwenye V8, kazi ya take home ya laki nne ndo ya kusema mademu wanajipendekeza kwako? Acha uongo we mtoto.
V8 sio langu ni la Dem wangu. Halafu madem wakiona unaamka asubuhi umechomekea unatoka unaenda sehemu lazima tu wajipendekeze. Ukiwa jobless huwezi kuelewa
 
Ni Wewe juzi umetoka kusema tukupigie hesabu mshahara wako unatoka na take home kiasi gani maana ndo umepata kazi saizi .... Jana mchana unasema jamaa aliyekuunganishaga kazi kila mwezi Hua anafoki umtatulie shida zake,, mara na Leo huu tena
Unamfukulia makaburi yake ya kale 🤣🤣
 
V8 sio langu ni la Dem wangu. Halafu madem wakiona unaamka asubuhi umechomekea unatoka unaenda sehemu lazima tu wajipendekeze. Ukiwa jobless huwezi kuelewa
We ni muongo, kazi gani ya taasisi ina mashahara wa laki tano? Hili ndo tatizo la kutunga Uzi kila leo, unakuwa muongo halafu huna kumbukumbu
 
We ni muongo, kazi gani ya taasisi ina mashahara wa laki tano? Hili ndo tatizo la kutunga Uzi kila leo, unakuwa muongo halafu huna kumbukumbu
Mzee mwanzoni nliandika mshahara wa kweli ila nikaedit kuweka laki5 maana niliona Hr wangu anaweza akapitia uku akansanukia
 
Wataalam,

Nimekuwa kwenye mahusiano ya takriban miaka mi3 Sasa na huyu Binti mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa hapa Tanzania.

Kusema kweli Binti ananipenda na Mimi nampenda sana. ila changamoto imekuja hapa baada ya kutaka kufikia hatua ya ndoa.

Ni kwamba Binti nilikuwa nakaa naye nyumbani kwake (amejengewa kasiri la kifahari na baba ake) na mda wote Kuna ulinzi wa kutosha plus popote aendapo Kuna walinzi na watu wa usalama hutufuata.

Shida Inakuja Sasa, mwaka Jana Binti alipata kazi Uingereza, kazi iko tight na kwa ratiba ikaonekana tutakuwa tunaonana anapopata likizo mara moja kwa mwaka.

Mimi nikataka kumfuata niishi naye huko lakini yeye na wazazi wake wakakataa kwamba inabidi nibaki bongo nikisimamia miradi lukuki ya Binti.

Ni sawa naishi maisha ya kifahari, naendeshwa kwenye Magari makubwa nilivyokuwa nayaona kwenye movie tu, na nikimuoa nitapewa mpaka walinzi wa kuandamana na Mimi.

Tatizo lipo hapo, Yani Mimi sex kwangu itakuwa mara moja tu kwa mwaka akipata likizo, na siwezi kucheat maana mda wote nafuatiliwa na watu wa usalama.

Mnanishauri nifanyeje? Nimuoe Au niachane na huyu binti?
Ndoto za mchana hizi
 
Mods wanakazi kubwa sana mwaka huu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom