Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaonekania wapi mkuumkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex
si kwenye meseji kaka😂😂😂Anaonekania wapi mkuu
Kwanza kwa nini umeoa?Habari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex, je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.
Ataliwa tu ni suala la muda.si kwenye meseji kaka😂😂😂
sjuii mieAtaliwa tu ni suala la muda.
Kiherehere😀Kwanza kwa nini umeoa?
Ndivyo ilivyo ila wake za watu wana majaribu sana 😐sjuii mie
Unamponza mwenzako, hapo hakuna mke.Duh unavunja ndoa kisa meseji... Achana na hiyo makitu bro, halafu simu ni private inakuaje unapekuapekua simu ya mwenzako? Kwani line yake alisajili kwa jina la familia au jina lake? Haya... We tangu ufunge ndoa haujawahi kutongoza huko nje? Hilo boriti vp hapo kwako?
Ndoa is all about sharing life and making family... Kaeni myajenge yaishe