Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Endelea kua nae wakati unaandaa mbadala wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 vitoto tena duhDipresheni hivi vitoto bila ukali haviendi!
Point tupuuLeta hiyo meseji kwanza ili tukushauri vizuri
Si ndio🤣😂 vitoto tena duh
Umetohoa kutoka kwenye jina lakoSi ndio🤣
wanafanya kazi zenye vipato vinavyofanana.
walikutana ki mjini mjini.
bi harusi ana tattoo.
bi harusi ni mtu wa socha netiweki (insta, fb, badoo, x etc)
bwana harusi analia lia kama PILIPILI.
Ndoa haivunjwi kwa ushauri, hivo fanya kitakachokupa amani.Habari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex,
Je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.
Sio ishu kubwa endapo wewe utakuwa mchapaji ila ni BONGE la ishu endapo wewe ndo MCHAPIWAJIMarriage is a scam
Anyway, kuchapiwa sio issue kubwa punguza jazba kunywa maji mengi sali, chukua evidence mkalishe chini mwambie na muonye akome tabia hizo.
Hivi unawezaje kukaa chini kuyajenga na malaya??Kaeni myajenge yaishe
Unaendelea nae.Habari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex,
Je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.
Ulitaka akatae ili iweje? Mbona wewe hakukukataa wakati àkikuwa na wengine Tisa kabla yako?si kwenye meseji kaka😂😂😂