Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa hapo jaribu ni lipi wakat ni mtu kafanya jambo venye akili yake imemtuma? unadhani hajui anachokifanya? nna waswas na huyu baba wa familia japo hata huyo mke anatikisa kibiritiNdivyo ilivyo ila wake za watu wana majaribu sana 😐
Asamehewe kwa minajili gani afsa?Msamehe mambo yanasameheka hayo
🤣🤣 Heshima yako mkuu nimecheka kwa hili swaliKwanza kwa nini umeoa?
Wasiwasi wanini, angejazia jazia habari tujue shida ilipoanzia.sasa hapo jaribu ni lipi wakat ni mtu kafanya jambo venye akili yake imemtuma? unadhani hajui anachokifanya? nna waswas na huyu baba wa familia japo hata huyo mke anatikisa kibiriti
Dipresheni tulia mbona umekuja na ukali sana.Umefukunyua vya kufukunyua, kumbe kifua huna!! Ndio ukome kisebengo.
Hebu tulia, jambo dogo hilo sio la kuvunja ndoa.
meseji tu ushafikia conclusion unataka kuvunja ndoa atavunja ndoa ngapi kwa kila kosa? je huyo dada hili n kosa lake la ngapi? alishawah kufumwa huko nyuma au ndio mara ya kwanza?Wasiwasi wanini, angejazia jazia habari tujue shida ilipoanzia.
Usikimbilie kuvunja ndoa mkuu. Jipe likizo flan hata ya miez 3 na fikiria sana watoto mkeo sio ndugu yakoHabari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex, je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.
Katongozwa tu unataka kuvunja ndoa 😀😀ukimfumania je😀Habari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex, je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.
Ni usaliti kuuvumilia ni gharama zaidi.meseji tu ushafikia conclusion unataka kuvunja ndoa atavunja ndoa ngapi kwa kila kosa? je huyo dada hili n kosa lake la ngapi? alishawah kufumwa huko nyuma au ndio mara ya kwanza?
Endelea nae tuu mambo ya wivu kwa mbususu yamepitwa na wakati.Habari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex, je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.
Dipresheni hivi vitoto bila ukali haviendi!Dipresheni tulia mbona umekuja na ukali sana.