Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata sijakuelewa lakini sio lazima sana nikueleweUlitaka akatae ili iweje? Mbona wewe hakukukataa wakati àkikuwa na wengine Tisa kabla yako?
Elewa kwamba wanawake hawakatai wanaume labda akikutongoza asikupe hela.hata sijakuelewa lakini sio lazima sana nikuelewe
Kabla sisi hatujawatongoza, nyie huwa mnatutongoza kwanza. Sisi huwa hatutongozi Kila mwanamke.itokee siku moja watu wa 5 tu wa jf wasifie ndoa jamani ili kutupatia moyo sie tulio mbioni kuingia kwenye ndoa,yani wengi humu ni broken tuuu,,,ila nashukuru Mama Mwana hunitia moyo sana😌
nb usimuache kisa mesej, mwanamke kutongozwa ni sifa ila kukubali ni akili yake,,, tuone screenshot kwanz.
Onhooo kwaio unataka kusema tuache kupendeza ili msitutongoze sioKabla sisi hatujawatongoza, nyie huwa mnatutongoza kwanza. Sisi huwa hatutongozi Kila mwanamke.
Umeoa kahaba tukusaidieje?Habari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex,
Je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.
Lifkuze tu hiloHabari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex,
Je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.
Mkuu achana na hayo mawazo ya kuoa.itokee siku moja watu wa 5 tu wa jf wasifie ndoa jamani ili kutupatia moyo sie tulio mbioni kuingia kwenye ndoa,yani wengi humu ni broken tuuu,,,ila nashukuru Mama Mwana hunitia moyo sana😌
nb usimuache kisa mesej, mwanamke kutongozwa ni sifa ila kukubali ni akili yake,,, tuone screenshot kwanz.
siwezi acha coz mi sioi naolewa😌Mkuu achana na hayo mawazo ya kuoa.
Hapo sawa, ila kwa waoaji ushauri wangu ni huo.siwezi acha coz mi sioi naolewa😌
Sasa tutaolewa na akina nan we naweHapo sawa, ila kwa waoaji ushauri wangu ni huo.
Wapo wengu Ms R mmojawapo akiwa huyo shemeji yetu.Sasa tutaolewa na akina nan we nawe
Tayar kaona unashauri wasioe sasa itakuajeWapo wengu Ms R mmojawapo akiwa huyo shemeji yetu.
Eti 😅😅umeona msg unataka kuvunja ndoa ungewafumania nna uhakika ungeua mtu,
ukute harusi yao iligharimu mamilioni ya hela lakini anataka kuacha mke kwa sms mojaEti 😅😅
Online affairsHabari zenu naomba kuuliza hivi ikitokea umeoa mke wa ndoa, siku ukafuma SMS na jamaa wakiwa wanatongozana na mkeo akaonekana kumkubalia mwamba japo hawajasex,
Je huyo mwanamke utaendelea kuwa nae kwenye ndoa au utaachana nae,?
Naombeni majibu wakongwe.