MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Mwaka mmoja. Baada ya probation kuisha tuNa kwa muda gani natakiwa niwe kazi ili niweze pata huo mkopo wa 23m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka mmoja. Baada ya probation kuisha tuNa kwa muda gani natakiwa niwe kazi ili niweze pata huo mkopo wa 23m
Huu ni utoto.15m naweka Bank haiguswi
Inakaa uko kwa riba ya 8 percent yearly au nanunua hisa ukouko bankHuu ni utoto.
Sasa Kama pesa huna shida nayo, unakopa ya Nini?
Hivi unafikiri Bank Wana undugu na wewe?
Ahaa kwahyo nikitaka kukopa tena niwe na asset binafsiHawezi kukopa zaidi ya moja ya tatu ya Mshahara wako.
Ukibaki na moja ya tatu, huwezi kukopa tena
Unasoma degree kweli??Inakaa uko kwa riba ya 8 percent yearly au nanunua hisa ukouko bank
Lakn hapo kumbuka nmetumia 8m kwnye kuwekeza na sjasema kama iko kiwanja ntajenga nyumba pia maana ntanunua ili niuze piaUnasoma degree kweli??
Yaani ukope Bank kwa Riba ya asilimia 17% kwa mwaka, halafu uweke let's bank (bonds, TBs, au Fixed account) wanakotoa Riba ya asilimia siyo zaidi ya 12%.
Hizi zitakuwa akili au TOPE??
SafUnasoma degree kweli??
Yaani ukope Bank kwa Riba ya asilimia 17% kwa mwaka, halafu uweke let's bank (bonds, TBs, au Fixed account) wanakotoa Riba ya asilimia siyo zaidi ya 12%.
Hizi zitakuwa akili au TOPE??
Saf nin? mbna umbea mwng
Achana na mambo ya Utendaji, maliza ualimu na pia jifunze uwekezajiLakn hapo kumbuka nmetumia 8m kwnye kuwekeza na sjasema kama iko kiwanja ntajenga nyumba pia maana ntanunua ili niuze pia
Nataka nisajili kampuni ya udalali ndo ndoto yangu kubwa nje ya ualimuAchana na mambo ya Utendaji, maliza ualimu na pia jifunze uwekezaji
Si kweli.Mtendaji wa kata lazima uwe na degree siku izi
Kwahio utapeli wa kuuza mashamba unaweka kama mshahara wako 😆 kwa kweli injii hii 🙆♂️Hata 10m inatosha, pia kuna kuuza mashamba ya kijiji na utapeli mwngi naweza fanya pia ntakula kwa urefu wa kamba 😃😃😃😃
Kweli wewe udalali unakufaa kungekuwa na kozi yake ungeenda kusomea chuo maana inaonekana una maneno kweli 😄Nataka nisajili kampuni ya udalali ndo ndoto yangu kubwa nje ya ualimu
Diploma. NTA level 5Kwahyo nisome diploma au certificate hapo ndo nitameet required qualification
Hizi akili aiseeHata 10m inatosha, pia kuna kuuza mashamba ya kijiji na utapeli mwngi naweza fanya pia ntakula kwa urefu wa kamba 😃😃😃😃
Bank Zina kikomo. NMB ndio miaka 8.
Bank nyingine ni miaka 7.
Lakini mikopo ya muda mrefu kutoka hizi bank ni utumwa sana.Crdb nimesikia juzi wana mpya’ miaka 9.
Embu toa ufafanuz bas kaka tapate kujifunzaSi kweli.
Unachukukua 23m unaanzaje tena kukaa kutegemea 700k kwa mwez ndo ikuendeshee maisha?Lakini mikopo ya muda mrefu kutoka hizi bank ni utumwa sana.
Miaka 9 ni moja ya watu ya maisha ya Utumishi.
Na ndani ya miaka 9, Kama ulikopa ukiwa mwenyewe, ndani ya miaka 9 Utakuwa na familia mtoto mkubwa inasomesha lakini bado una deni kubwa la bank kulipa.
Utaishi maisha magumu sana. Utaanza Sasa, kufanya top up ya Deni lako kila likipungua kidogo au kila ukiongezwa Mshahara kidogo.
Utakuwa mtumwa wa madeni.
Acha wivu mbna wengne wanalamba asal mm kutaka kulamba kidogo tu unaniambia sna akil lakn alosema atasafisha 1hekari kwa 16m cjaoa ukimwambia hana akil acha chuk ndogondogoHizi akili aisee