Pombe zina maajabu sana.Yeah, niliposema nakunywa bia za buku sh tano haikuwa bei bali ni indentity ili na nyie mjue ni bia ainq gani, .hivi Pic kali yenye jina utaipekela uswazi jmn
Hapa tulipo ni members tu, walinzi wangu wamemzuia ila analia anataka tuondoke...nimegoma
Nahisi kuna ujmbe wangu hapa
..subirini nawajuza
Mademu sisi ni wajanja sanaYeah, niliposema nakunywa bia za buku sh tano haikuwa bei bali ni indentity ili na nyie mjue ni bia ainq gani, .hivi Pic kali yenye jina utaipekela uswazi jmn
Hapa tulipo ni members tu, walinzi wangu wamemzuia ila analia anataka tuondoke...nimegoma
Nahisi kuna ujmbe wangu hapa
..subirini nawajuza
Sio wewe tu,Niongeze na mimiJf kila mtu yupo vizuri mfukoni kasoro mimi
Thread 'Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!' Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!Mabelee hainaga shida...shida upo na mapene..nipo vizuri chief
Na mimi jamani
Hehehe anachagua ushaur siyoo??Jeshi anaomba usauri afu tukimshauri sisi akina monopoly inc anamaindi basi endeleeni kumshauri nyie akina Nakadori
Mimi ni kiongozi wa kundi hili
Pombe ya wasukuma iyo[emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We naye unakuwaje mrahisi hvyooWalinzi wa hapa washafika...wananishauri nisepe bado nimegoma...wanaongea na walinzi wangu demu hajatoka nje...nimewaambia walinzi wangu asitole
Ila naona tuondoke tu...mwenye PM aje live ashuhudie mziki huu.
Nilijua tuWalinzi wa hapa washafika...wananishauri nisepe bado nimegoma...wanaongea na walinzi wangu demu hajatoka nje...nimewaambia walinzi wangu asitole
Ila naona tuondoke tu...mwenye PM aje live ashuhudie mziki huu.
Kwa hiyo umezidiwa nguvu...maji marefu huvukii?Huyo jamaa aliyeleta hizo bia zake ni mtu mwenye uwezo yawezekqna .walinzi wa hapa wananishauri niende tu kwa leo sababu ushakuwa ishu kubwa.
Toa location tuje apo Kama maafisa usalama kukukamata kwa uhujumu uchumi[emoji4]Walinzi wa hapa washafika...wananishauri nisepe bado nimegoma...wanaongea na walinzi wangu demu hajatoka nje...nimewaambia walinzi wangu asitole
Ila naona tuondoke tu...mwenye PM aje live ashuhudie mziki huu.
Hataa asubuh atakiwii alinzungumzieee km uckuu kapewa alichokifataa kwa mrembo mkuuEmbu acha fujo..she amalizie hizo Savannah mkale Raha za dunia..mambo mengine mtayamaliza kesho asubuhi.
Kwa sababu ya bei nafuu au??