Nipeni ushauri wadau

Nipeni ushauri wadau

Yeah, niliposema nakunywa bia za buku sh tano haikuwa bei bali ni indentity ili na nyie mjue ni bia ainq gani, .hivi Pic kali yenye jina utaipekela uswazi jmn

Hapa tulipo ni members tu, walinzi wangu wamemzuia ila analia anataka tuondoke...nimegoma

Nahisi kuna ujmbe wangu hapa
..subirini nawajuza
Pombe zina maajabu sana.

Mara hii una walinzi?
 
Yeah, niliposema nakunywa bia za buku sh tano haikuwa bei bali ni indentity ili na nyie mjue ni bia ainq gani, .hivi Pic kali yenye jina utaipekela uswazi jmn

Hapa tulipo ni members tu, walinzi wangu wamemzuia ila analia anataka tuondoke...nimegoma

Nahisi kuna ujmbe wangu hapa
..subirini nawajuza
Mademu sisi ni wajanja sana
Tafiti ujue yaliyomo mkuu.
Mtu na pesa yako undharaulikaje kirahisiii
 
Tupo kwenye Quaresma, tukitoka tunaunga Ramadhani tusamehe kidogo mkuu😅😅😅
 
Walinzi wa hapa washafika...wananishauri nisepe bado nimegoma...wanaongea na walinzi wangu demu hajatoka nje...nimewaambia walinzi wangu asitole

Ila naona tuondoke tu...mwenye PM aje live ashuhudie mziki huu.
 
Huyo jamaa aliyeleta hizo bia zake ni mtu mwenye uwezo yawezekqna .walinzi wa hapa wananishauri niende tu kwa leo sababu ushakuwa ishu kubwa.
 
Walinzi wa hapa washafika...wananishauri nisepe bado nimegoma...wanaongea na walinzi wangu demu hajatoka nje...nimewaambia walinzi wangu asitole

Ila naona tuondoke tu...mwenye PM aje live ashuhudie mziki huu.
We naye unakuwaje mrahisi hvyoo
Mhudumu angetaja aliyenunua hizo savana umjue bwana
 
Walinzi wa hapa washafika...wananishauri nisepe bado nimegoma...wanaongea na walinzi wangu demu hajatoka nje...nimewaambia walinzi wangu asitole

Ila naona tuondoke tu...mwenye PM aje live ashuhudie mziki huu.
Nilijua tu
Yaani uende viwanja vya maana, unywe bia ya buku jero ulewe afu usifanye fujo?
 
Huyo jamaa aliyeleta hizo bia zake ni mtu mwenye uwezo yawezekqna .walinzi wa hapa wananishauri niende tu kwa leo sababu ushakuwa ishu kubwa.
Kwa hiyo umezidiwa nguvu...maji marefu huvukii?
Dah Pole...
Itakuwa huyo jamaa anataka kumiliki huyo demu wako na ukute namba ashashikishwa tayari bila ww kujua
 
Walinzi wa hapa washafika...wananishauri nisepe bado nimegoma...wanaongea na walinzi wangu demu hajatoka nje...nimewaambia walinzi wangu asitole

Ila naona tuondoke tu...mwenye PM aje live ashuhudie mziki huu.
Toa location tuje apo Kama maafisa usalama kukukamata kwa uhujumu uchumi[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Embu acha fujo..she amalizie hizo Savannah mkale Raha za dunia..mambo mengine mtayamaliza kesho asubuhi.
Hataa asubuh atakiwii alinzungumzieee km uckuu kapewa alichokifataa kwa mrembo mkuu
 
Back
Top Bottom