Inamaana kwamba Bia za Bei rahisi zinachochea wanywaji kufanya fujo?Nilijua tu
Yaani uende viwanja vya maana, unywe bia ya buku jero ulewe afu usifanye fujo?
Kagoma kabisa, nilivyombana saana walinzi wa hapa wakanifuata kisiri kwanba yaishe..ndo ugomvi ukaanzia hapo.We naye unakuwaje mrahisi hvyoo
Mhudumu angetaja aliyenunua hizo savana umjue bwana
Naona TU Wasukuma huwa wanaipenda Sana, ata Sijui kwannKwa sababu ya bei nafuu au??
Ha ha ha....Kagoma kabisa, nilivyombana saana walinzi wa hapa wakanifuata kisiri kwanba yaishe..ndo ugomvi ukaanzia hapo.
Mhudumu kagoma.kabisa kusogea kwanza simwoni tena hapa...ni soo kubwa.
Basi sepa mkuu hamia kwingine...Kagoma kabisa, nilivyombana saana walinzi wa hapa wakanifuata kisiri kwanba yaishe..ndo ugomvi ukaanzia hapo.
Mhudumu kagoma.kabisa kusogea kwanza simwoni tena hapa...ni soo kubwa.
Uyo jamaa alonunua izo savanna Huenda Ni mtu wake uyo dem, kafanya kusud ili Dem ajue kamuona[emoji4]Kwa hiyo umezidiwa nguvu...maji marefu huvukii?
Dah Pole...
Itakuwa huyo jamaa anataka kumiliki huyo demu wako na ukute namba ashashikishwa tayari bila ww kujua
Wasukuma na wakurya hahaha
Wanawake sisi mbinguni tutaingia tukiwa tunachechemeaUyo jamaa alonunua izo savanna Huenda Ni mtu wake uyo dem, kafanya kusud ili Dem ajue kamuona[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi Sina Ela yakulipa walinzi,Mimi ni kiongozi wa kundi hili
Binam wewe hujawaza kulindwa mkiwa mnatoka out na mama J? Mfanye mpango wa baunser
Ha ha ha ....Wasukuma na wakurya hahaha
Ngoja wauze ng'ombe na samaki waje mjini wakaribishwe halafu kinywaji ni balimi
Mijitu yenye hela halafu haijui matumizi
Vumilia, huo ndo ukubwa chief[emoji4]Hakuna kitu kinauma kama kudhalllauriwa mbele ya dem wako.
Hakika,Wanawake sisi mbinguni tutaingia tukiwa tunachechemea
Yani tandam unatishwa na vits??Hakuna kitu kinauma kama kudhalllauriwa mbele ya dem wako.
Walinz ndo wamempozaa we huoni alivyopanicHakika,
Mwanamke kugonganisha magari.
Sema jamaa mstaarabu na mkomavu Sana, Nampa hongera[emoji106]
Sent using Jamii Forums mobile app
Walinz wa hotel au walinzi binafs wa jamaa?Walinz ndo wamempozaa we huoni alivyopanic
SaaanaInamaana kwamba Bia za Bei rahisi zinachochea wanywaji kufanya fujo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa Hotel
[emoji849][emoji849][emoji849]Wakuu,
Leo ni Ijumaa? Kama kawa nimetoka..nipo na Pic kali nakumbukia ujana.
Kama kawaida yangu napiga bia zangu za buku sh tano...ila pic I napiga savana.
Pic ishakunywa kama savana 4 afu tushapata mbuz choma yaani mambo ni fresh...ila muda huu kuna savana mbili zimekuja mezani..sijajua zimetoka wapi..
Sasa naomba ushauri...nilianzishe ama ? Uwezo wa kununua savana zozote zile ninao