Nipeni ushauri wadau

Nipeni ushauri wadau

We naye unakuwaje mrahisi hvyoo
Mhudumu angetaja aliyenunua hizo savana umjue bwana
Kagoma kabisa, nilivyombana saana walinzi wa hapa wakanifuata kisiri kwanba yaishe..ndo ugomvi ukaanzia hapo.

Mhudumu kagoma.kabisa kusogea kwanza simwoni tena hapa...ni soo kubwa.
 
Kagoma kabisa, nilivyombana saana walinzi wa hapa wakanifuata kisiri kwanba yaishe..ndo ugomvi ukaanzia hapo.

Mhudumu kagoma.kabisa kusogea kwanza simwoni tena hapa...ni soo kubwa.
Basi sepa mkuu hamia kwingine...
Ila angalia sana siku ishaharibika hyo waweza anzisha soo uendako ukajikuta unarudi hom jumapili au j3 ukitokea mabatini
 
Ujana maji ya fire..

Tulia mzee, siku zote akili ziwe myingi kuliko miguvu.
 
Wakuu,

Leo ni Ijumaa? Kama kawa nimetoka..nipo na Pic kali nakumbukia ujana.

Kama kawaida yangu napiga bia zangu za buku sh tano...ila pic I napiga savana.

Pic ishakunywa kama savana 4 afu tushapata mbuz choma yaani mambo ni fresh...ila muda huu kuna savana mbili zimekuja mezani..sijajua zimetoka wapi..

Sasa naomba ushauri...nilianzishe ama ? Uwezo wa kununua savana zozote zile ninao
[emoji849][emoji849][emoji849]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom