Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee na iyo pisi yako mmelipiwa,
Kuna bazazi anawasubiri kilaji kikolee[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba wote wafanywe chakula ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee na iyo pisi yako mmelipiwa,
Kuna bazazi anawasubiri kilaji kikolee[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja mwenyewe akusikie
Enheeee!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kahisi jamaa anaunga unga[emoji4]Heheh
Utakaaje na dem wako halaf vinywaji viletwe from nowhere ni dharau kubwa sana sijui ameonekanaje mbele ya kadamnasi
Yeah, niliposema nakunywa bia za buku sh tano haikuwa bei bali ni indentity ili na nyie mjue ni bia ainq gani, .hivi Pic kali yenye jina utaipekela uswazi jmn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anataka kuwakula wote[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba wote wafanywe chakula ama?
Dharau kubwaa asee
Usikubali kirahisi rahisiYeah, niliposema nakunywa bia za buku sh tano haikuwa bei bali ni indentity ili na nyie mjue ni bia ainq gani, .hivi Pic kali yenye jina utaipekela uswazi jmn
Hapa tulipo ni members tu, walinzi wangu wamemzuia ila analia anataka tuondoke...nimegoma
Nahisi kuna ujmbe wangu hapa
..subirini nawajuza
Mabelee hainaga shida...shida upo na mapene..nipo vizuri chief
Ulikua unakunywa balimi?Yeah, niliposema nakunywa bia za buku sh tano haikuwa bei bali ni indentity ili na nyie mjue ni bia ainq gani, .hivi Pic kali yenye jina utaipekela uswazi jmn
Hapa tulipo ni members tu, walinzi wangu wamemzuia ila analia anataka tuondoke...nimegoma
Nahisi kuna ujmbe wangu hapa
..subirini nawajuza
Dawa Ni kuhama kijiwe, Bia aziache Apo Apo[emoji4]Dharau kubwaa asee
Hapo mkono lazma ulike km me ni mtata
Nilikua nachombeza mada[emoji4]Mabelee hainaga shida...shida upo na mapene..nipo vizuri chief
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upo na pointi...demu anataka tusepe mie nataka kujua dharau hii imetoka wapi...analia kwamba am not carely..namnyamyasaUsikubali kirahisi rahisi
We ngoja alianzishe bwana kesho aamkie kwa pilato
Na manundu kibaoWe ngoja alianzishe bwana kesho aamkie kwa pilato
Jf kila mtu yupo vizuri mfukoni kasoro mimi