Sii mbali majibu yataanza kupatikana mwishoni mwa wiki,hapo ndio utajua kama maharage ni mboga, tarehe 18 punde baada ya mechi naomba mods wafanye kadiri ya maombi yako.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Naunga mkono hojaMuda mwengine unaweza ukaanza kubishana na mtu kumbe madaktari wake wamemuachia simu waone mgonjwa wao zimerudi ama bado dozi ikung'utwe..!
Kule ukoloni Kuna vijana wengi wa ajabu ajabuNaunga mkono hoja
Kabisa wanajitoa sana ufahamu aiseeKule ukoloni Kuna vijana wengi wa ajabu ajabu
Ban, aina maana tuaidi utatoa nyashi mkuuMimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Umeeleweka.Nikajua upigwe miti(yaani fimbo hata sita kila mwezi) . Hhahahaaaa
Nitakuunga mkono kama utaweka na ID zako nyingine hadharani, ili na zenyewe zihusishwe kwenye hiyo BAN. Kinyume na hapo, hiki unachokifanya hapa ni kutuchezea tu shere.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Naomba adhabu ya kumpiga miti, Mimi ndo niitoeNikajua upigwe miti(yaani fimbo hata sita kila mwezi) . Hhahahaaaa
Hajaweka viapo vikubwaMimi shabiki wa Simba ila Huwa sipendi sana wanaume wanaopenda kutoa viapo na ahadi za kipumbavu kama hizi. Ni ujinga mtupu na siyo football.
Kwangu Mimi naiona possibility ya Yanga kuvuka makundi ni 60%
Unaleta viapo vya kijinga kama vile siyo Mwanaume bhana!🚮
Tusubiri mods waje kuweka kumbukumbu vizuri.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.