Nipigwe 'ban' ya mwezi iwapo Yanga atavuka hatua ya makundi

Nipigwe 'ban' ya mwezi iwapo Yanga atavuka hatua ya makundi

Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.

Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Mkuu wewe kupigwa ban au kutopigwa ban ina athari gani humu jukwaani? Mbona binadamu mnaanza kujitafutia upekee sana na wala huna cha kukupa huo upekee.

Kaa chini uone maana hata mwaka jana mlijiaminisha hivyo hivyo. Mwingine akasema sijui atakunya boga. Shenzi kabisa
 
Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.

Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Ibenge akiwafunga tena kaz imeisha
 
Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.

Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Ohooooo....umeiga Ile tabia ya Labani og ?
 
Hakuna kocha aliyewahi kuivusha timu hatua ya robo fainali katika msimu wake wa kwanza...mbona hamuelewi? Ndo ramo huyo?
 
Kumbuka kuna hizi
 

Attachments

  • Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    272.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom