Nipigwe 'ban' ya mwezi iwapo Yanga atavuka hatua ya makundi

Nipigwe 'ban' ya mwezi iwapo Yanga atavuka hatua ya makundi

Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.

Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Naunga mkono hoja
 
Muda mwengine unaweza ukaanza kubishana na mtu kumbe madaktari wake wamemuachia simu waone mgonjwa wao zimerudi ama bado dozi ikung'utwe..!
Kwa akili zake timamu ameomba upigwe ban endapo UTOPOLO ataenda robo fainali.
 
Mimi shabiki wa Simba ila Huwa sipendi sana wanaume wanaopenda kutoa viapo na ahadi za kipumbavu kama hizi. Ni ujinga mtupu na siyo football.

Kwangu Mimi naiona possibility ya Yanga kuvuka makundi ni 60%

Unaleta viapo vya kijinga kama vile siyo Mwanaume bhana!🚮
Ww sio mwan cmb
 
Mimi shabiki wa Simba ila Huwa sipendi sana wanaume wanaopenda kutoa viapo na ahadi za kipumbavu kama hizi. Ni ujinga mtupu na siyo football.

Kwangu Mimi naiona possibility ya Yanga kuvuka makundi ni 60%

Unaleta viapo vya kijinga kama vile siyo Mwanaume bhana!🚮
Mechi ya TP Mazembe na MC Alger itaamua, iwapo waarabu watapigika itakuwa mteremko kwa Yanga. Vyovyote iwavyo Yanga inaenda robo fainali nami sitaki kukosa kuwepo uwanjani mechi ya mwisho Allah akinipa uwezo.

Ombi langu kwa wachezaji Yanga ilazimishe kufanya safari nyingi mbele katika mechi zetu mbili na kupunguza muda wa mabeki kupasiana kule nyuma kama nilivyoona nikiwa kwa Mkapa mechi na mazembe, viungo waje haraka kuchukua mipira kupeleka mbele. Uwezo wa kushinda mechi zote mbili upo wachezaji wajitoe zaidi.
 
Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.

Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Sijasahau ahadi yako hii; ninaifuatilia kwa karibu sana.
 
Back
Top Bottom