Nipigwe 'ban' ya mwezi iwapo Yanga atavuka hatua ya makundi

Yaan nahisi ntacheka huko kitandani mpaka ataamkaa.....mama...mamaaa baba anatoa machozi,,,,kalia ujue
Walidharau mechi,na kuaminisha watu mwarabu anapigwa magoli mengi,wangejifanya underdog wasingeumia hivi
 
Your browser is not able to display this video.
 
Uko safe mkuu, I knew it
 
Yanga Kuvuka Watavuka tu...kutokea pale Jangwani wakatize fire Watokezee Magomeni Mapipa...!

Lkn kwa vile vizee vya MEMKWA kuvuka Makundi ya CAF mwaka huu Wasahau...!
Jamaniiiii 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…