Naunga mkono hojaMimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Kwa mwezi mzima kama alivyosema?Naomba adhabu ya kumpiga miti, Mimi ndo niitoe
Naunga mkono hojaNitahakimisha ban hiyo inatekelezwa kwa miezi miwili, siyo mwezi mmoja ulioomba.
Na tunamwambia iyo ahadi ni ndogo tunamuandalia mafuta ya p.didy ili akitoka hapo atorudia Tena kuweka viapo vya kipuuzi puuzi!Kabisa wanajitoa sana ufahamu aisee
Hakika Niko tayari kuitoa adhabu ya kumpiga miti kikamilifu kama alivoombaKwa mwezi mzima kama alivyosema?
Na huu ndo ukweli usiokuwa na shaka yoyoteMuda mwengine unaweza ukaanza kubishana na mtu kumbe madaktari wake wamemuachia simu waone mgonjwa wao zimerudi ama bado dozi ikung'utwe..!
Ameen!Mapenzi yako yatimizwe
Kwa akili zake timamu ameomba upigwe ban endapo UTOPOLO ataenda robo fainali.Muda mwengine unaweza ukaanza kubishana na mtu kumbe madaktari wake wamemuachia simu waone mgonjwa wao zimerudi ama bado dozi ikung'utwe..!
sawa kama ban ni ngumi atapigwaKwa akili zake timamu ameomba upigwe ban endapo UTOPOLO ataenda robo fainali.
Ww sio mwan cmbMimi shabiki wa Simba ila Huwa sipendi sana wanaume wanaopenda kutoa viapo na ahadi za kipumbavu kama hizi. Ni ujinga mtupu na siyo football.
Kwangu Mimi naiona possibility ya Yanga kuvuka makundi ni 60%
Unaleta viapo vya kijinga kama vile siyo Mwanaume bhana!🚮
Mechi ya TP Mazembe na MC Alger itaamua, iwapo waarabu watapigika itakuwa mteremko kwa Yanga. Vyovyote iwavyo Yanga inaenda robo fainali nami sitaki kukosa kuwepo uwanjani mechi ya mwisho Allah akinipa uwezo.Mimi shabiki wa Simba ila Huwa sipendi sana wanaume wanaopenda kutoa viapo na ahadi za kipumbavu kama hizi. Ni ujinga mtupu na siyo football.
Kwangu Mimi naiona possibility ya Yanga kuvuka makundi ni 60%
Unaleta viapo vya kijinga kama vile siyo Mwanaume bhana!🚮
Sijasahau ahadi yako hii; ninaifuatilia kwa karibu sana.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.