Nipo Bukoba mjini hakuna mademu wazuri Kila ninaye muona hanivutii, viwanja gani wanapatikana?

Sawa unyamaze nimekaa miezi sits pale sjawahi ona kitu ,labda warembo hawaendi baa na club,mieusiiiiii,mishambaaa ,mindalaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mda inabidi mtu ucheke tu!!
 
Jamani hata mbeya hakuna warembo nilikaa mbalizi nikatoka na mafuta yangu
 
Rwamishenyi?....unaleta masihara weuweee[emoji2958][emoji2958]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…