Nipo Bukoba mjini hakuna mademu wazuri Kila ninaye muona hanivutii, viwanja gani wanapatikana?

Wapo ila mpaka ulewe sana. Mimi nilihangaika sana kwa siku mbili mfululizo, akili ikanijia nitwange bia, baada ya kubugia bia za kutosha nikaanza kuziona totozi zilizo jazia miguu... Sikukumbuka tena kukagua sura zao
Tatizo bia hazipandi mawindo yangu ni totoz tu yaani huwa ninabagua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo ila mpaka ulewe sana. Mimi nilihangaika sana kwa siku mbili mfululizo, akili ikanijia nitwange bia, baada ya kubugia bia za kutosha nikaanza kuziona totozi zilizo jazia miguu... Sikukumbuka tena kukagua sura zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…