Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Panda za Makumbusho au Kawe...
NB: Za kawe Zitakurahisishia zaidi kwa sababu utapanda gari moja tu.
Njia? Wee ni mkazi wa wapi mkuu?Zinapita njia gani?
Njia? Wee ni mkazi wa wapi mkuu?
Route yoyote anafika kaka...japo route ya kupitia Mandela road- (Ubungo) itakuwa rahisi zaidi kwa sababu mzunguko wake sio mrefu kama zile zinazopitia Magomeni.Nataka kujua kama kweli hiyo route inamsaidia huyo dogo.
Kwa njia ya Mandela Road inabidi apande gari ya Temeke-Mbezi yenye ufito wa njano na kijani ndio zinapita Ubungo.Route yoyote anafika kaka...japo route ya kupitia Mandela road- (Ubungo) itakuwa rahisi zaidi kwa sababu mzunguko wake sio mrefu kama zile zinazopitia Magomeni.
Route yoyote anafika kaka...japo route ya kupitia Mandela road- (Ubungo) itakuwa rahisi zaidi kwa sababu mzunguko wake sio mrefu kama zile zinazopitia Magomeni.
Hakuna route hiyo, kuna T/Segerea-Kawe via Nelson Mandela.Okay, kwa hiyo kuna gari la Buza - Kawe kupitia Mandela?
Yombo mkuuBuza ipi?
Kumbe route ya gari moja IPO?? Mana nataka nianze kusoma British school center IPO uko mwenge,, SAS nikiwaza gari mbili kwenda na kurudi yan itakuwa balaa sanaPanda za Makumbusho au Kawe...
NB: Za kawe Zitakurahisishia zaidi kwa sababu utapanda gari moja tu.
😀 😀😀 Masomo mkuuSawa mjumbe wa Kyela naona umekuja likizo kidogo kurefresh
Duh kumbe gari mbili??Kutoka Buza kwenda Kawe lazima upande gari 2.
Panda gari ya Buza-Makumbusho ukifika Makumbusho uchukue gari yoyote ya kupita Mwenge iwe ni za kwenda Bunju/Tegeta/Mbezi au Mawasiliano(Simu 2000) kisha uwaambie wakushushe Mwenge.
Bon Voyage
Oooo Najimunisa tena DuhSuper najimunisa