- Thread starter
- #21
ASante kwa msaada wako(1)Panda za makumbusho.
(2)Ukifika makumbusho panda tegeta nyuki au bunju shuka mwenge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ASante kwa msaada wako(1)Panda za makumbusho.
(2)Ukifika makumbusho panda tegeta nyuki au bunju shuka mwenge.
Acha uongo. Buza -Kawe ipo route ya Daladala mojaKutoka Buza kwenda Kawe lazima upande gari 2.
Panda gari ya Buza-Makumbusho ukifika Makumbusho uchukue gari yoyote ya kupita Mwenge iwe ni za kwenda Bunju/Tegeta/Mbezi au Mawasiliano(Simu 2000) kisha uwaambie wakushushe Mwenge.
Bon Voyage
Habari mkuu, hapo British unaenda kusoma nini? (nauliza kwa nia njema).Kumbe route ya gari moja IPO?? Mana nataka nianze kusoma British school center IPO uko mwenge,, SAS nikiwaza gari mbili kwenda na kurudi yan itakuwa balaa sana
Ukipata nafasi ya kujiunga mshike mkono mkuu wetu jiwe Ongozana nae akajue kimombo......Habari mkuu, hapo British unaenda kusoma nini? (nauliza kwa nia njema).
mimi nina mpango wa kuja hapo kusoma kutema yai (english course) au QT, ingawa siyo leo. Maana mkwanja unapwaya kidogo.
Ada zao ni tsh ngapi?
Nataka nikasome kama PC( advance)Habari mkuu, hapo British unaenda kusoma nini? (nauliza kwa nia njema).
mimi nina mpango wa kuja hapo kusoma kutema yai (english course) au QT, ingawa siyo leo. Maana mkwanja unapwaya kidogo.
Ada zao ni tsh ngapi?
Duh nilifika usiku sana sikuweza kusoma mazingira kamamdaHuko Buza ulifikaje fikaje? Au ulienda na Private car? Ukiaa main road hizo daladala zinapita hakuna za kwenda Makumbusho?
Masomo mema kiongozi!Nataka nikasome kama PC( advance)
Ishu sijasoma mazingira badoAcha uvivu mtoto wa mkoani kanyaga kwa mguu tu mbona karibu hapo[emoji41]
hahah, poa bwana.Ukipata nafasi ya kujiunga mshike mkono mkuu wetu jiwe Ongozana nae akajue kimombo......
Asante sana,, nashukuruMasomo mema kiongozi!
Tupe mrejeshoHabari zenu wana jamvi,
Kwa wenyeji wa Dar naomba Mnisaidie nipande daladala zipi kutoka Buza mpaka mwenge. Mimi ni mgeni kabisa wa jiji.
Bungu ya wapi hiyo?Nami napachika langu, nipo gongo la mboto! Nipande gari ipi nifike bungu chapchap (ondoa mawasiliano na makumbusho)
Itakuwa kwa lulenge...[emoji23]Buza ipi?
Gar za buza to kawe sidhan kama zinapita Mandela Road -Sam nujoma road to bagamayo road ila zinapita kawawa road kinondon, zinakuja kupita moroco na zinatoboa mikochen I think ni hivo bro! Ila kwa mtu wa Buza lazima apande gar mbili toka Buza mpaka Mwenge lazima upande za makumbusho au Kawe, kwa za Kawe utashuka moroco utachukua gar za bunju sokon utafika mwenge but jaribu kuangalia pia chuo chako Kiko wapi maana Sina hakika Kama hiyo rout ya magari yanayopita alihasan mwinyi to bagamayo road yatakufikisha kwenye hicho chuo chako.Kumbe route ya gari moja IPO?? Mana nataka nianze kusoma British school center IPO uko mwenge,, SAS nikiwaza gari mbili kwenda na kurudi yan itakuwa balaa sana
Itakuwa kwa lulenge...[emoji23]