Nipo Buza, nipande Magari yapi nifike Mwenge?

Nipo Buza, nipande Magari yapi nifike Mwenge?

Gar za buza to kawe sidhan kama zinapita Mandela Road -Sam nujoma road to bagamayo road ila zinapita kawawa road kinondon, zinakuja kupita moroco na zinatoboa mikochen I think ni hivo bro! Ila kwa mtu wa Buza lazima apande gar mbili toka Buza mpaka Mwenge lazima upande za makumbusho au Kawe, kwa za Kawe utashuka moroco utachukua gar za bunju sokon utafika mwenge but jaribu kuangalia pia chuo chako Kiko wapi maana Sina hakika Kama hiyo rout ya magari yanayopita alihasan mwinyi to bagamayo road yatakufikisha kwenye hicho chuo chako.
Kipo mwenge ITV opposite na Lutheran church
 
Panda Gari yoyote ya Masaki.shuka barkessa nenda Hadi sleepway. Panda boti za kwenda bongoyo ukifika shuka uliza MTU yoyote mwenge uko wapi.
 
Panda Buza- makumbusho. Ukifika makumbusho panda gari za kawe, Tegeta au Ubungo shukia ITV kituo.
 
Poa mkuu, nimekupata. Acha tu nidandie la mawasiliano ila siingii ndani nadandia la Bunju chapchap
 
Poa mkuu, nimekupata. Acha tu nidandie la mawasiliano ila siingii ndani nadandia la Bunju chapchap

Ukikuta askari pale kona ya kuingia mawasiliano konda anaweza akazingua.
Bora uende ndani tu ushuke, upande ya bunju siti ya mbele na dereva.
 
Back
Top Bottom