Kipo mwenge ITV opposite na Lutheran churchGar za buza to kawe sidhan kama zinapita Mandela Road -Sam nujoma road to bagamayo road ila zinapita kawawa road kinondon, zinakuja kupita moroco na zinatoboa mikochen I think ni hivo bro! Ila kwa mtu wa Buza lazima apande gar mbili toka Buza mpaka Mwenge lazima upande za makumbusho au Kawe, kwa za Kawe utashuka moroco utachukua gar za bunju sokon utafika mwenge but jaribu kuangalia pia chuo chako Kiko wapi maana Sina hakika Kama hiyo rout ya magari yanayopita alihasan mwinyi to bagamayo road yatakufikisha kwenye hicho chuo chako.
Ok kwa Hapo gari za bunju sokon au tegeta zinakupitisha Happ Kama utatokea makumbusho au moroco ni sawa tuKipo mwenge ITV opposite na Lutheran church
Buza kwa ndevu😀😀.Buza ipi?
Nami napachika langu, nipo gongo la mboto! Nipande gari ipi nifike bungu chapchap (ondoa mawasiliano na makumbusho)
Sorry mkuu nilikuwa namaanisha Buza-Mwenge.A
Acha uongo. Buza -Kawe ipo route ya Daladala moja
Oky shukrani ndugu kwa msaada wakoOk kwa Hapo gari za bunju sokon au tegeta zinakupitisha Happ Kama utatokea makumbusho au moroco ni sawa tu
Sijakusoma boti tenaaPanda Gari yoyote ya Masaki.shuka barkessa nenda Hadi sleepway. Panda boti za kwenda bongoyo ukifika shuka uliza MTU yoyote mwenge uko wapi.
Super najimunisa
Panda Gari yoyote ya Masaki.shuka barkessa nenda Hadi sleepway. Panda boti za kwenda bongoyo ukifika shuka uliza MTU yoyote mwenge uko wapi.
Njia zote unafika mkuu.Boti?? Upo serious kwel kamandaa
Anhaaa now nimekusoma kiongoziiNjia zote unafika mkuu.
Ni kama ukitoka posts kwnda mbagala unaweza kupanda kivuko ukazunguki njia ya kigamboni.
Ushanisoma!?
Shukrani sanaaPanda Buza- makumbusho. Ukifika makumbusho panda gari za kawe, Tegeta au Ubungo shukia ITV kituo.
Poa mkuu, nimekupata. Acha tu nidandie la mawasiliano ila siingii ndani nadandia la Bunju chapchap
Kila la heri mkuu..hahah, poa bwana.