Nipo Buzuruga Mwanza kwa Kazi maalum

Ningekupa connection za dem mmoja yupo hapo kama unaitaji wa nje ya jf
 
Buzuruga sehemu gani Mkuu?
 
Nenda hapo DV8 au sogea maeneo ya Bundesliga hutajuta sema nimetoka nje ya mji hayo ni maeneo yangu ya kujivinjari
 
Tukutane golden Rocky leo jioni sawa
 
Kazi maalumu umewakimbiza watu hapo mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23] kawaida jamani ni majukumu binafsi tu, katika utafutaji. Mimi ni raia mwema kabisa ndugu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…