Nipo Chato natafakari mengi, kwa hili pekee Katoliki na Usalama wangelisaidia Taifa kama wangeamua

Nipo Chato natafakari mengi, kwa hili pekee Katoliki na Usalama wangelisaidia Taifa kama wangeamua

Umekubali hoja ya msingi kwamba mtu mzalendo anaweza kuianika nchi yake kwenye vyombo vya kimataifa na kwamba mfano wako wa Snowden umetuonesha hilo?
Nakubali, kama jambo lenyewe ni kweli...

Ninachokataa ni kuona Kabendera anaitwa mzalendo kwa kuongea vitu visivyokuwa na uthibitisho lakini...

Snowden akiitwa msaliti kwa kuongea ukweli...
 
Nakubali, kama jambo lenyewe ni kweli...

Ninachokataa ni kuona Kabendera anaitwa mzalendo kwa kuongea vitu visivyokuwa na uthibitisho lakini...

Snowden akiitwa msaliti kwa kuongea ukweli...

Kabendera anajadilika kwa mengi. Hata yeye mwenyewe katoa somo kubwa la kukataa kumkubali mtu jumlajumla (hagiography), na kuwa na analysis, kuwa na nuance. Kwa hivyo, mtu anayetaka kumtetea Kabendera kwa kila kitu kama nabii, atakuwa hajamuelewa Kabendera. Atakuwa kakosa somo kubwa alilolitoa Kabendera.

Tatizo letu tunapenda false dichotomy logical fallacy.

Kwamba Kabendera ni lazima awe mzalendo au msaliti.

Wengi hatuwezi kujadili issues. Hatuwezi kusema "Kabendera katika hili alikuwa sawa, katika hili tunahitaji ushahidi zaidi, katika hili alikosea". Na overall sentiment ni hii.

Mimi sijasema hakuna Kabendera alichokosea, sijasema hakuna kinachohitaji ushahidi zaidi.

Nilichokataa ni mtu kukataa kabisa hata kusoma kitabu cha Kabendera kwa kusema ni msaliti.

Kukataa kusoma kitabu ni kukumbatia ujinga.

Utajuaje Kabendera kaandika ukweli au uongo bila hata kusoma kitabu na kukataa katakata kusoma?

Soma kwanza, ukitaka kumpinga muandishi, mpinge baada ya kumsoma.
 
Soma kwanza, ukitaka kumpinga muandishi, mpinge baada ya kumsoma.
Binafsi ninaposoma kitabu, nikagundua taarifa moja inayojulikana na wengi ikiwa imepotoshwa...

Huwa nafanya hitimisho la jumla kwamba hicho kitabu si cha kuaminika hata kama kuna baadhi ya taarifa ni za kweli...

Najaribu kusema kwamba, wanaokipinga hicho kitabu bila kukisoma wana hoja ya msingi...

Kwasababu kitabu kimejadiliwa humu na kuonekana na uongo mwingi, na wewe ni mmoja ya watu mlioleta baadhi ya taarifa za uongo katika kitabu hicho...
 
Binafsi ninaposoma kitabu, nikagundua taarifa moja inayojulikana na wengi ikiwa imepotoshwa...

Huwa nafanya hitimisho la jumla kwamba hicho kitabu si cha kuaminika hata kama kuna baadhi ya taarifa ni za kweli...

Najaribu kusema kwamba, wanaokipinga hicho kitabu bila kukisoma wana hoja ya msingi...

Kwasababu kitabu kimejadiliwa humu na kuonekana na uongo mwingi, na wewe ni mmoja ya watu mlioleta baadhi ya taarifa za uongo katika kitabu hicho...

This is a logical fallacy.

Your critical thinking skills need sharpening.

This logical fallacy is called hasty generalization.

"Hasty Generalization Fallacy
The hasty generalization fallacy is sometimes called the over-generalization fallacy. This fallacy occurs when an argument is based on a body of evidence that is simply too small. For instance, if your uncle was a lifelong cigarette smoker who lived into his nineties, it would be a hasty generalization to claim that smokers have a high life expectancy based on such limited evidence."

 
This is a logical fallacy.

Your critical thinking skills need sharpening.

This logical fallacy is called hasty generalization.

"Hasty Generalization Fallacy
The hasty generalization fallacy is sometimes called the over-generalization fallacy. This fallacy occurs when an argument is based on a body of evidence that is simply too small. For instance, if your uncle was a lifelong cigarette smoker who lived into his nineties, it would be a hasty generalization to claim that smokers have a high life expectancy based on such limited evidence."

Alichokifanya Kabendera ni sawa na kumtambulisha Simba kwa kusema...

Mnyama Simba ana mkia, nywele nyingi na pembe...

Mtu anayemjua Simba ataenda kwenye hitimisho moja kwa moja kwamba Kabendera hamjui Simba.
 
Alichokifanya Kabendera ni sawa na kumtambulisha Simba kwa kusema...

Mnyama Simba ana mkia, nywele nyingi na pembe...

Mtu anayemjua Simba ataenda kwenye hitimisho moja kwa moja kwamba Kabendera hamjui Simba.
Kwanza kabisa, umekubali kuwa hoja yako ya kukataa kitabu kizima kwa sababu ya kosa moja ni hasty generalization logical fallacy?

Umeisoma hasty generalization logical fallacy na kuielewa?

Unanisikitisha jinsi ulivyo inconsistent.

Umekataa mfano wangu mmoja wa Tulsi Gabbard wa kuonesha Snowden anakubalika na Wamarekani, ukisema kuwa mfano mmoja hautoshi kujenga hoja hiyo, mpaka nikakuwekea polls nyingi hapa.

Sasa inakuwaje wewe mtu uliyekataa mfano mmoja tu kujenga hoja kuwa Snowden anakubalika na Wamarekani, uende kusema kuwa kosa moja tu ndani ya kitabu linafanya kitabu chote kisiwe na maana?

You are contradicting yourself.

Kwa Snowden umekataa hasty generalization logical fallacy.

Kwenye kukitathmini kitabu unaitumia hiyo hiyo hasty generalization logical fallacy uliyoikataa awali.

Hivi hata wewe mwenyewe unaelewa unataka nini?

Haya ninayoyaandika unayaelewa au napoteza muda wangu tu pengine hata uwezo wa kuelewa hasty generaluzation logical fallacy huna?
 
Tofauti yenu walokole na wakatoliki ni nini wote si ni pipa na mfuniko
 
Hivi hata wewe mwenyewe unaelewa unataka nini?

Haya ninayoyaandika unayaelewa au napoteza muda wangu tu pengine hata uwezo wa kuelewa hasty generaluzation logical fallacy huna?
Nafikiri tukubali kutokubaliana, kwanini?

Kwasababu HGLF hai apply kwenye kila kitu...

Hapa tunazungumzia kitabu(A body of knowledge)...

Ni mategemeo ya kila mtu kwamba kitabu kiwe ni chanzo kizuri cha facts...

Kitabu kinachoitwa cha kiuchunguzi kikilalamikiwa na watu kuhusu ukweli wake kwenye baadhi ya page, kinakosa credibility.
 
Nafikiri tukubali kutokubaliana, kwanini?

Kwasababu HGLF hai apply kwenye kila kitu...

Hapa tunazungumzia kitabu(A body of knowledge)...

Ni mategemeo ya kila mtu kwamba kitabu kiwe ni chanzo kizuri cha facts...

Kitabu kinachoitwa cha kiuchunguzi kikilalamikiwa na watu kuhusu ukweli wake kwenye baadhi ya page, kinakosa credibility.
Mku,

Kitabu chenye kurasa 1500 zilizojaa facts za ukweli kikakosea spellings za jina la mtu tu, Mkapa kikamuita Mkapi, utakikataa chote kwa sababu kimekosea jina la Mkapa na kumuita Mkapi sehemu moja tu?
 
mmeshasahau kitabu Cha kabendera,alitimuliwaga misheni skul na akili ilifyatukaga kitambo
 
angelikuwepo sijui wangapi tungekuwa na vicheko na wangapi maumivu..
 
kwani tofauti kati ya kanisa la walokole na kanisa la wakatoliki ni ipi ?
 
Mku,

Kitabu chenye kurasa 1500 zilizojaa facts za ukweli kikakosea spellings za jina la mtu tu, Mkapa kikamuita Mkapi, utakikataa chote kwa sababu kimekosea jina la Mkapa na kumuita Mkapi sehemu moja tu?
Kwenye kitabu cha Kabendera...

Makosa tunayojadili siyo ya kiuandishi maana hayo yamejaa kitabu chote...

Tunajadili baadhi ya taarifa anazoziita facts, mfano uvamizi wa Zitto Kabwe, mhusika mwenyewe anasema kuna makosa,tarehe ya kifo cha Sokoine...

Kama anaandika uongo kuhusu kifo cha Sokoine ambacho nchi nzima wanajua alikufa lini, tunaamini vipi anaposema Magufuli alitaka kumbaka Samia?

Mkuu tukubali tu kutokubaliana ila kukubali kwamba Kabendera ni mzalendo kwa nchi yake ni lazima nithibitishiwe kwanza alichoandika ni kweli...

Tatizo la watu weusi ni unafiki, Kabendera asingeandika kitabu hicho kama asingepata misukosuko kwenye utawala wa Magufuli...
 
Nina takribani siku ya tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi

Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa

Naingiwa na shauku ya kutaka kujua hilo kanisa liliandikwa Mtakatifu Joseph mbona limefungwa?

Najulishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la Pentekoste walio kuwa wanasali pale.

Pentekoste na Mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kanisa kwa lengo la kuwapa Katoliki lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokole.

Kwa mtu anayeifahamu Katoliki huwezi kujenga kanisa kisha ukawapa wao, hii ilikuwa ishara ya ukichaaa tosha na kwa point hii Katoliki na Usalama walishiriki kutupa kichaa.
Kichaa aliyetujengea SGR ni mzuri sana
 
Kichaa aliyetujengea SGR ni mzuri sana
Mkuu achana na wajinga waliozoea kufanya kazi kimazoea...

Kosa pekee la Magufuli kwa hawa watu ilikua kutaka kubadili mentality zao...

Magufuli alituletea siasa za vitendo wakati wao walizoea siasa za maneno na uongo uongo...
 
Kwenye kitabu cha Kabendera...

Makosa tunayojadili siyo ya kiuandishi maana hayo yamejaa kitabu chote...

Tunajadili baadhi ya taarifa anazoziita facts, mfano uvamizi wa Zitto Kabwe, mhusika mwenyewe anasema kuna makosa,tarehe ya kifo cha Sokoine...

Kama anaandika uongo kuhusu kifo cha Sokoine ambacho nchi nzima wanajua alikufa lini, tunaamini vipi anaposema Magufuli alitaka kumbaka Samia?

Mkuu tukubali tu kutokubaliana ila kukubali kwamba Kabendera ni mzalendo kwa nchi yake ni lazima nithibitishiwe kwanza alichoandika ni kweli...

Tatizo la watu weusi ni unafiki, Kabendera asingeandika kitabu hicho kama asingepata misukosuko kwenye utawala wa Magufuli...
Naongea abstract. Si kitabu cha Kabendera.

Ukikutana na kitabu cha kurasa 1500 kimejaa facts pote, kimekosea jina la mtu sehemu moja tu, utakikataa hicho kitabu kwa sababu ya kosa moja hilo tu?
 
Back
Top Bottom