nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Bila shaka unaendelea na mifano, maana kitabu cha Kabendera hakina uongo mmoja...Haya, kitabu hicho hicho kikipatia mambo yote, kurasa 1500 zote ziwe sawa, kikakosea tarehe ya kufariki Sokoine, kikaitaja April 12, 1983 badala ya 1984, utakikataa kitabu kizima kwa sababu ya kosa moja?
Utaacha kulikataa hilo kosa moja na kukubali hayo mengine yote yaliyopatiwa, na utakataa kitabu chote kwa sababu ya kosa moja hilo?
Jiwe popote alipo ningependa afe tenaWe ni mpumbavu sana tena mjinga. Acha kuponda usichokijua kwa kutunga story na kuleta hapa mradi tu kumkashifu marehemu Magufuli. Unaanzisha thread bila mantiki lengo likiwa kashfa kwa Magufuli. Ujinga uliopitiliza...
Mambo ya ajabu sana!Kwa taarifa Yako, hilo kanisa alijenga na mhemko wa kisiasa. Alitaka liwe kanisa la wakristo wa madhehebu yote. Alitaka na waisalamu wasali humohumo. Wakatoliki wakakataa, ndiyo hao wengine wakakubali
Nakubali uislamu ni mzuri, ila...Kiongozi anayefata Uislam ni lazima awe kiongozi mzuri.
Uislam ni mfumo wa maisha.
Huyo mzee wa watu alichafua watu wengi, bora kafa😅😅😅 Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kuzima nyota ya mzee baba🤔🤔🤔??? Mlikuwa wadogo wakati ule wimbo wa "pembe la ng'ombe halifichiki"? Mnatumia nguvu nyingi mno! Fanyeni yenu jamii itaona na kuwasifu kwa uwezo na si kwa kuchafua mzee wa watu.
Nakuunga mkono, mtu muovu ni kazi kusahaulikaHumu watu wanakurupuka kuandika JPM hatosahaulika na zitawauma saana
Alichafua watu kumzidi Lisu ?Huyo mzee wa watu alichafua watu wengi, bora kafa
Achana naye!We ni mpumbavu sana tena mjinga. Acha kuponda usichokijua kwa kutunga story na kuleta hapa mradi tu kumkashifu marehemu Magufuli. Unaanzisha thread bila mantiki lengo likiwa kashfa kwa Magufuli. Ujinga uliopitiliza...
Yeye alichafua na kuua kabisa. Hata mkewe alichomfanyia ni Mungu tu ajuayeAlichafua watu kumzidi Lisu ?
Maisha ni mafupi sana kuishi kwa chuki, sasa angalia namna unavyoteseka na kwa maandishi haya unaonesha ni mtu fulani hivi sitaki kusema ukweli unaujua mwenyewe.Kumuita jiwe mwamba ni kujifanya mjinga, labda mwamba wako, wewe utakuwa ni wale mliokuwa mnaitwa wanyonge
Kwahiyo Diamond ni Simba kwasababu anajiita hivyo?Kuwa Rais au waziri ni ishu nyingine. Mpaka yeye mwenyewe aliwahi kujiita kichaa, au umesahau?
Kwa nini ni kosa la uandishi wakati ni kosa la fact? Hilo ni kosa la mwaka.Bila shaka unaendelea na mifano, maana kitabu cha Kabendera hakina uongo mmoja...
Hapa nita assume hilo ni kosa la kiuandishi.
ModeratorNina takribani siku ya tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi
Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa
Naingiwa na shauku ya kutaka kujua hilo kanisa liliandikwa Mtakatifu Joseph mbona limefungwa?
Najulishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la Pentekoste walio kuwa wanasali pale.
Pentekoste na Mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kanisa kwa lengo la kuwapa Katoliki lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokole.
Kwa mtu anayeifahamu Katoliki huwezi kujenga kanisa kisha ukawapa wao, hii ilikuwa ishara ya ukichaaa tosha na kwa point hii Katoliki na Usalama walishiriki kutupa kichaa.
Wew utakuwa na akili kama za Jiwe. Diamond kujiita simba ni kuonyesha nguvu alizonazo kama tasnia yake. Jiwe kujiita kichaa ni kuonyesha jinsi akili yake ilivyokuwa katika maamuzi. Pole sana ndugu mnyongeKwahiyo Diamond ni Simba kwasababu anajiita hivyo?
Sina chuki na mtu yeyote. Pole sana ndugu mnyongeMaisha ni mafupi sana kuishi kwa chuki, sasa angalia namna unavyoteseka na kwa maandishi haya unaonesha ni mtu fulani hivi sitaki kusema ukweli unaujua mwenyewe.
Usimchukie mtu ila chukia mambo yake. Na wasiwasi utakuwa ndo wale wachawi wanaopenda kulalamika kutwa kuwasema watu na kuwachukia bila sababu.
Tanzania ingrkuwa na watu wenye akili magufuli hata ubunge asinge usogelea kabisa.Nina takribani siku ya tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi
Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa
Naingiwa na shauku ya kutaka kujua hilo kanisa liliandikwa Mtakatifu Joseph mbona limefungwa?
Najulishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la Pentekoste walio kuwa wanasali pale.
Pentekoste na Mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kanisa kwa lengo la kuwapa Katoliki lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokole.
Kwa mtu anayeifahamu Katoliki akhuwezi kujenga kanisa kisha ukawapa wao, hii ilikuwa ishara ya ukichaaa tosha na kwa point hii Katoliki na Usalama walishiriki kutupa kichaa.