Nipo Chato natafakari mengi, kwa hili pekee Katoliki na Usalama wangelisaidia Taifa kama wangeamua

Nipo Chato natafakari mengi, kwa hili pekee Katoliki na Usalama wangelisaidia Taifa kama wangeamua

Haya, kitabu hicho hicho kikipatia mambo yote, kurasa 1500 zote ziwe sawa, kikakosea tarehe ya kufariki Sokoine, kikaitaja April 12, 1983 badala ya 1984, utakikataa kitabu kizima kwa sababu ya kosa moja?

Utaacha kulikataa hilo kosa moja na kukubali hayo mengine yote yaliyopatiwa, na utakataa kitabu chote kwa sababu ya kosa moja hilo?
Bila shaka unaendelea na mifano, maana kitabu cha Kabendera hakina uongo mmoja...

Hapa nita assume hilo ni kosa la kiuandishi.
 
We ni mpumbavu sana tena mjinga. Acha kuponda usichokijua kwa kutunga story na kuleta hapa mradi tu kumkashifu marehemu Magufuli. Unaanzisha thread bila mantiki lengo likiwa kashfa kwa Magufuli. Ujinga uliopitiliza...
Jiwe popote alipo ningependa afe tena
 
😅😅😅 Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kuzima nyota ya mzee baba🤔🤔🤔??? Mlikuwa wadogo wakati ule wimbo wa "pembe la ng'ombe halifichiki"? Mnatumia nguvu nyingi mno! Fanyeni yenu jamii itaona na kuwasifu kwa uwezo na si kwa kuchafua mzee wa watu.
Huyo mzee wa watu alichafua watu wengi, bora kafa
 
We ni mpumbavu sana tena mjinga. Acha kuponda usichokijua kwa kutunga story na kuleta hapa mradi tu kumkashifu marehemu Magufuli. Unaanzisha thread bila mantiki lengo likiwa kashfa kwa Magufuli. Ujinga uliopitiliza...
Achana naye!
Hivi unajua kuwa baadhi ya watu wamelaaniwa na hawajui kama wamelaaniwa? Halafu ukishalaaniwa kwa staili hiyo, uliyelaaniwa unakuwa unawaona wale ambao hawajalaaniwa kuwa ndiyo waliolaaniwa
 
Kumuita jiwe mwamba ni kujifanya mjinga, labda mwamba wako, wewe utakuwa ni wale mliokuwa mnaitwa wanyonge
Maisha ni mafupi sana kuishi kwa chuki, sasa angalia namna unavyoteseka na kwa maandishi haya unaonesha ni mtu fulani hivi sitaki kusema ukweli unaujua mwenyewe.

Usimchukie mtu ila chukia mambo yake. Na wasiwasi utakuwa ndo wale wachawi wanaopenda kulalamika kutwa kuwasema watu na kuwachukia bila sababu.
 
Nina takribani siku ya tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi

Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa

Naingiwa na shauku ya kutaka kujua hilo kanisa liliandikwa Mtakatifu Joseph mbona limefungwa?

Najulishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la Pentekoste walio kuwa wanasali pale.

Pentekoste na Mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kanisa kwa lengo la kuwapa Katoliki lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokole.

Kwa mtu anayeifahamu Katoliki huwezi kujenga kanisa kisha ukawapa wao, hii ilikuwa ishara ya ukichaaa tosha na kwa point hii Katoliki na Usalama walishiriki kutupa kichaa.
Moderator
 
Kwahiyo Diamond ni Simba kwasababu anajiita hivyo?
Wew utakuwa na akili kama za Jiwe. Diamond kujiita simba ni kuonyesha nguvu alizonazo kama tasnia yake. Jiwe kujiita kichaa ni kuonyesha jinsi akili yake ilivyokuwa katika maamuzi. Pole sana ndugu mnyonge
 
Maisha ni mafupi sana kuishi kwa chuki, sasa angalia namna unavyoteseka na kwa maandishi haya unaonesha ni mtu fulani hivi sitaki kusema ukweli unaujua mwenyewe.

Usimchukie mtu ila chukia mambo yake. Na wasiwasi utakuwa ndo wale wachawi wanaopenda kulalamika kutwa kuwasema watu na kuwachukia bila sababu.
Sina chuki na mtu yeyote. Pole sana ndugu mnyonge
 
Nina takribani siku ya tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi

Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa

Naingiwa na shauku ya kutaka kujua hilo kanisa liliandikwa Mtakatifu Joseph mbona limefungwa?

Najulishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la Pentekoste walio kuwa wanasali pale.

Pentekoste na Mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kanisa kwa lengo la kuwapa Katoliki lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokole.

Kwa mtu anayeifahamu Katoliki akhuwezi kujenga kanisa kisha ukawapa wao, hii ilikuwa ishara ya ukichaaa tosha na kwa point hii Katoliki na Usalama walishiriki kutupa kichaa.
Tanzania ingrkuwa na watu wenye akili magufuli hata ubunge asinge usogelea kabisa.
 
Back
Top Bottom