Mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza Mzumbe, kama mjuavyo chuoni kuna presentation za hapa na pale. Tatizo linalonikabili ni kushindwa kabisa kuongea ninapofika pale mbele ya darasa, nasika kutetemeka, roho inakwenda mbio sana,midomo inakauka kabisa yaani naskia kuanguka.
Nimejaribu kufata jinsi wenzangu wanavyonishauri ili niweze kushinda hali hiyo ila nimeshindwa kabisa hivyo naongea kidogo tu nashindwa kabisa kuendelea kwani sauti inatoweka kabisa nashindwa kuongea. Naskia uchungu kuona wenzangu wanavyoongea vizuri mbele ya darasa lakini mi nashindwa kabisa.Kwa mwanafunzi yeyote atakayekuwa yuko na mimi kozi moja na darasa moja hope atakuwa amenijua hivyo naomba pia anipe ushauri kama bado hajawahi kunipa tukiwa group discussion.
Mwisho wanaJF wote natumai mtanipa ushauri utakaoweza kunisaidia.
Nimejaribu kufata jinsi wenzangu wanavyonishauri ili niweze kushinda hali hiyo ila nimeshindwa kabisa hivyo naongea kidogo tu nashindwa kabisa kuendelea kwani sauti inatoweka kabisa nashindwa kuongea. Naskia uchungu kuona wenzangu wanavyoongea vizuri mbele ya darasa lakini mi nashindwa kabisa.Kwa mwanafunzi yeyote atakayekuwa yuko na mimi kozi moja na darasa moja hope atakuwa amenijua hivyo naomba pia anipe ushauri kama bado hajawahi kunipa tukiwa group discussion.
Mwisho wanaJF wote natumai mtanipa ushauri utakaoweza kunisaidia.