CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
kijana hilo ni jambo la kwaida kuwa na fear what byou have to do is to think of your role model like obama or oprah and then it is done. utakuwa na confidence ya kufa mtu lakini ucisahau what you are talking about!!Mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza Mzumbe, kama mjuavyo chuoni kuna presentation za hapa na pale. Tatizo linalonikabili ni kushindwa kabisa kuongea ninapofika pale mbele ya darasa, nasika kutetemeka, roho inakwenda mbio sana,midomo inakauka kabisa yaani naskia kuanguka.
Nimejaribu kufata jinsi wenzangu wanavyonishauri ili niweze kushinda hali hiyo ila nimeshindwa kabisa hivyo naongea kidogo tu nashindwa kabisa kuendelea kwani sauti inatoweka kabisa nashindwa kuongea. Naskia uchungu kuona wenzangu wanavyoongea vizuri mbele ya darasa lakini mi nashindwa kabisa.Kwa mwanafunzi yeyote atakayekuwa yuko na mimi kozi moja na darasa moja hope atakuwa amenijua hivyo naomba pia anipe ushauri kama bado hajawahi kunipa tukiwa group discussion.
Mwisho wanaJF wote natumai mtanipa ushauri utakaoweza kunisaidia.
we jiamini unapokua pale mbele kufanya representation.......
Just relax amini wale wanafunzi wenzako mpo pale kwa ajili ya kujifunza,dakika ya kwanza nay pili lazima utetemeke laikini baada ya hapo unaagain control.Wakati mwengine kabla hujaenda kupresent wachukue marafiki zako kadhaa muende sehemu yenye uwazi mkubwa au kidarasa fulani halafu ufanye maazoezi ya kupresent baada ya siku kadhaa ukuwa nondozaidi pia tangu niko shule chekechea hadi hapa nilipofika sijawahi kabisa kufanya presentation sababu mi nimesoma msingi kijijini na secondary pia kijijini,,,,,,,,,,,,ila five na sx kidogo ndio ilikuwa mjini sababu shule ilikuwa wilayani.....huko kusini huko,,,,,, sasa hivi ndio niko morogoro yaani nimekutana na presentation nashindwa kabisa kuongea,,,,,,,ila moyoni naumia sana ninaposhindwa sababu najitahidi lakini wapi,,,kuna rafiki yangu kaninunulia vitabu viwili nimevisoma lakini wapi,,,,,,vyote ni vya public speaking, pia nimesoma sana kupitia internet jinsi yakuweza kuongea mbele za watu lakin badi haijanisaidia,,,,,,, yaani siku ya presentation naiwaza,,,,,,yaani km ni kesho usiku silali,nakuwa nawaza na kushtuka jinsi ya kwenda kuongea pale mbele,,,,,,,yaani jamani mwenzenu napata tabu si siri,,,,,nisaidieni jamani
mmm hii wakati naanza chuo nilikuwa nayo
mkuu mimi pia mara ya kwanza advance nilikuwa nakoseakosea nikazoea.kufika chuo kupewa microfoni ambayo cjawah tumia ilinitia kiwewe but now nina macomfidence mbayamimi sikuamini nilichofanya siku ya presentation ya DS nilijiona siwezi but kumbe mm ni bonge la presenter
funika vibayavibaya, hope ni kujiamini kama unawezaaa