Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kuna nini hapa? Nipeni summary 😅Huyo kamaliza form 4 Mwaka jana,😂😂,, mzigo wape kina National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab au Analyse wakunyooshe😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini hapa? Nipeni summary 😅Huyo kamaliza form 4 Mwaka jana,😂😂,, mzigo wape kina National Anthem, Mzee wa kupambania, mzabzab au Analyse wakunyooshe😂😂😂
Savannah na kuku nusu....[emoji23][emoji23] Madogo ya kuja kupigwa pumbuu kwa savannah
Daaah! Tunatamanishana sasa. Kashasaula zote?huwa hatufatani nao mkuu.. unamtanguliza tu unamkuta chumbani kaisha saula.. [emoji28][emoji28]
Naweza kabisaa, karibu basi 😊🤝Huwezi mnunulia mtu bila kumgonga?
Dogo mshamba_hachekwi anataka kupewa mbususu, sema Kaka ake Gily alisema dogo huwa ana tetemeka Kama ana kifafa😂😂Kuna nini hapa? Nipeni summary 😅
Hahahahaha uwiiiTafuta hela mkuu uache kunywa safari ulewe haraka 😂😂😂
Ya kweli haya Gily? Ipo wapi?poa brother nina lodge yangu shule ya uzuri inaitwa Upendo Lodge. Ukitaka kulala na goma Tua pale hutojutia[emoji1787]
Dah kupigwa pumbu kisa kuku choma nusu hapana.....Naweza kabisaa, karibu basi 😊🤝
Waambie walimu sio mmWalimu wenzako tarehe kama hizi tunawaona wameanza kupiga myayo, wewe bado hujaishiwa au umevuta mkopo NMB?
Kuwa makini mwalimu fedha ya mkopo siyo ya kula kvanti na wahuni!!
hapana mie sina shida ya kukula bana.. tunatulia tu kama friend.. mambo ya kihuni mie sina 😊😊Dah kupigwa pumbu kisa kuku choma nusu hapana.....
Ila unajua katika hali ya kawaida uwezo nila kama sijataka ....
Hata ununue kreti sijui kretii. Savana inakaa Kwa kreti?
(Sinyw)
So nikisema uninunulie alafu unile labda nimeamua.
Weee🤣🤚hiniboksi
Mlete mlete, napenda sana wageniDogo mshamba_hachekwi anataka kupewa mbususu, sema Kaka ake Gily alisema dogo huwa ana tetemeka Kama ana kifafa😂😂
👉 Ndo Mana nikasema bora mpewe nyinyi😂😂😂
Gily kwenye stor ulivyo mpole hata siamini kama uko hivi....nilikua nakuona kama paster🤣 aliomba ushauri
alipoona mbususu akitetemeka kama kaona jini😬
Ila nyie hamkubaligobchenu kiliwe hata kama ni hiyo savannah ya 4000 sijui ndo bei....lazima mgonge ngozi....hapana mie sina shida ya kukula bana..
Kijana wa hovyo huyoo Gily, na ndugu yake mshamba_hachekwi 😂😂Gily kwenye stor ulivyo mpole hata siamini kama uko hivi....nilikua nakuona kama paster
Mimi nakunywa safari maana ndo bia yangu hata unipe jackdaniel NO Nina pesa za kutoshaUkinywa Hennessy si utapeleka matangazo redioni
Hahaha 🤣🤣🤣🤣 yaani siamini nimesoma comments zake za namna hii Kwa mara ya kwanza sijawahi kukutana nazoKijana wa hovyo huyoo Gily, na ndugu yake mshamba_hachekwi 😂😂