Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Fresh Kaka, jobless Sina la kusema 🤗, dada ako ume mchukuaNiaje bro, habari za jioni ? Mie mzima kabisa.. mambo yanaendaje hapo home kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fresh Kaka, jobless Sina la kusema 🤗, dada ako ume mchukuaNiaje bro, habari za jioni ? Mie mzima kabisa.. mambo yanaendaje hapo home kaka
Yeah sure ila vijana wenzako Gily na Intelligent businessman wanakataamasai dada mie sio mwanaume wa aina hiyo, mie na heshimu sana connection, maheshimu sana utu wa mtu. Huwezi jua kesho na kesho kutwa, ni lazima tujifunze kwenye maisha ku value na kumpa thamani kila mtu unae kutana nae.. na lazima tujue kila mtu ana faida yake na umuhimu wake.. naogopa sana kuharibu aina yoyote ya connection maana sijui kesho yangu
La kuambiwa, ongezo na zako😂😂😂 Kasema yeye sio kijana WA hovyo
dada yupo home .. 😊😊😊 weekend vipi mkuuFresh Kaka, jobless Sina la kusema 🤗, dada ako ume mchukua
Savannah na kuku nusu....
Hahahaha eti kupigwa pumbu
Niko poa kabisa. Amina ndugu yangu. Familia iko poa ila mwanangu ana rushes vibaya mno, haka kachanga wageni wakija wakikibeba kanapata allergy. Sasa nataka kuzuia wagenj wasije kumuona very sad...😊😊 za jioni kaka ? Bwana Yesu Afisifiwe. Familia inaendeleaje kaka mkubwa
😂 Wanasaga kunguni hapo juu sio kitotomasai dada usiwasikilize hao vijana.. wahuni sana
Ukisikia paa, ujue imekosa- ila we tutasikia aaahaa😂😂😂Yeah sure ila vijana wenzako Gily na Intelligent businessman wanakataa
Mbaya mkuuu, michongo hakuna😐dada yupo home .. 😊😊😊 weekend vipi mkuu
masai dada 😊😊.. hao watani zangu wanakutania tu, ila deep down wanakubali nilivyo muungwana kijana nisie na mawaa wala makuuYeah sure ila vijana wenzako Gily na Intelligent businessman wanakataa
Niko poa kabisa. Amina ndugu yangu. Familia iko poa ila mwanangu ana rushes vibaya mno, haka kachanga wageni wakija wakikibeba kanapata allergy. Sasa nataka kuzuia wagenj wasije kumuona very sad...
Joto la siku mbili hizi kabla ya mvua.Niko poa kabisa. Amina ndugu yangu. Familia iko poa ila mwanangu ana rushes vibaya mno, haka kachanga wageni wakija wakikibeba kanapata allergy. Sasa nataka kuzuia wagenj wasije kumuona very sad...
Basi kampasue, huyu kiumbee😂😂situmii sumu ya aina yoyote kwenye mwili wangu 😅
😊😊 masai dada hao wahuni tu, usiwasikilize😂 Wanasaga kunguni hapo juu sio kitoto
Hayo mambo yako kaka 😅yale mashangazi mzee utakuwa unatumia panadol na energy sema kwel😬
🤣🤣🤣 muulize majina ya wale mitume 12 wa Yesu akiweza kuwajua basi kabadilika. Maana last time I checked anamjua Yuda na Petro😬Yeah sure ila vijana wenzako Gily na Intelligent businessman wanakataa
Sikuliza masai dada , hebu mulize anapenda kula nini very easily utajua tabia yake🤣😊😊 masai dada hao wahuni tu, usiwasikilize
Hutaki kuwa muwazi 😬 sema kweli unatumia nini maisha yalivyo magumu yaliz kuwa na nguvu ya ziada🤣Hayo mambo yako kaka 😅
Kwa hiyo cute wife aje ale kujigaragaaza na kunywa ...hutamtangukiza lodge?masai dada 😊😊.. hao watani zangu wanakutania tu, ila deep down wanakubali nilivyo muungwana kijana nisie na mawaa wala makuu