Nipo hapa Manzese Kwa Mkwere napiga vyombo, wadau njooni basi tuliunge

Nipo hapa Manzese Kwa Mkwere napiga vyombo, wadau njooni basi tuliunge

sio kweli masai dada mie siwezi fanya hivyoo.. mie mtu nae jiheshimu na kuheshimu sana utu wa mtu .. usiwe na wa hofu
Ahhahaha abdalah hanaga hizo....
Abdalah akishaamua weee..
Ila vizuri sana kaa uko hivyo..
Sio Kila unapokutana na mtu unawaza kumbandua tu,hutakia na marafiki na hutapata connection za maisha..
Kuna WA dada wako simple tu ila mkali WA hizi kazi....Sasa tatizo lenunnyinyi ukikutana na mdada tu eeee unatafuta namna ya "kumtanguliza lodge"

Eee
 
Ahhahaha abdalah hanaga hizo....
Abdalah akishaamua weee..
Ila vizuri sana kaa uko hivyo..
Sio Kila unapokutana na mtu unawaza kumbandua tu,hutakia na marafiki na hutapata connection za maisha..
Kuna WA dada wako simple tu ila mkali WA hizi kazi....Sasa tatizo lenunnyinyi ukikutana na mdada tu eeee unatafuta namna ya "kumtanguliza lodge"

Eee
masai dada mie sio mwanaume wa aina hiyo, mie na heshimu sana connection, maheshimu sana utu wa mtu. Huwezi jua kesho na kesho kutwa, ni lazima tujifunze kwenye maisha ku value na kumpa thamani kila mtu unae kutana nae.. na lazima tujue kila mtu ana faida yake na umuhimu wake.. naogopa sana kuharibu aina yoyote ya connection maana sijui kesho yangu
 
Back
Top Bottom