masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Mpwayungu ulivyoalika mtu aje na hela yake au unanunulia?Mimi nakunywa safari maana ndo bia yangu hata unipe jackdaniel NO Nina pesa za kutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwayungu ulivyoalika mtu aje na hela yake au unanunulia?Mimi nakunywa safari maana ndo bia yangu hata unipe jackdaniel NO Nina pesa za kutosha
Zipo Kama 1000 hivi😂😂, ni vile ana jificha tu😂😂Hahaha 🤣🤣🤣🤣 yaani siamini nimesoma comments zake za namna hii Kwa mara ya kwanza sijawahi kukutana nazo
Ahhahaha hajiweki wazi aiseeeZipo Kama 1000 hivi😂😂, ni vile ana jificha tu😂😂
sio kweli masai dada mie siwezi fanya hivyoo.. mie mtu nae jiheshimu na kuheshimu sana utu wa mtu .. usiwe na wa hofuIla nyie hamkubaligobchenu kiliwe hata kama ni hiyo savannah ya 4000 sijui ndo bei....lazima mgonge ngozi....
Njoo tu ila utanunuliwa K VANT KUBWA ili usinitie hasaraMpwayungu ulivyoalika mtu aje na hela yake au unanunulia?
Ahhahaha abdalah hanaga hizo....sio kweli masai dada mie siwezi fanya hivyoo.. mie mtu nae jiheshimu na kuheshimu sana utu wa mtu .. usiwe na wa hofu
Eeeh mpwayungu mara moja moja usihesabu hasara..yaani nije uniunguze maini kweliNjoo tu ila utanunuliwa K VANT KUBWA ili usinitie hasara
Analyse Kaka nikuletee na Viagra au😂😂Huyu hapa bro Analyse, kajifaidiee 😂😂View attachment 2645171
Man anzaga mbali😂😂😂sio kweli masai dada mie siwezi fanya hivyoo.. mie mtu nae jiheshimu na kuheshimu sana utu wa mtu .. usiwe na wa hofu
haha angejua wewe ndio kiongozi wetu😄Kijana wa hovyo huyoo Gily, na ndugu yake mshamba_hachekwi 😂😂
masai dada haya ni maigizo huyu ni mtu hatari sanasio kweli masai dada mie siwezi fanya hivyoo.. mie mtu nae jiheshimu na kuheshimu sana utu wa mtu .. usiwe na wa hofu
yale mashangazi mzee utakuwa unatumia panadol na energy sema kwel😬situmii sumu ya aina yoyote kwenye mwili wangu 😅
😂🤣🤣🤣 Yanipasa kukimbia vibaya mnomasai dada haya ni maigizo huyu ni mtu hatari sana
nilikuwa nakusubiria ulivyoniharibia kwa nuzu.....😬
masai dada mie sio mwanaume wa aina hiyo, mie na heshimu sana connection, maheshimu sana utu wa mtu. Huwezi jua kesho na kesho kutwa, ni lazima tujifunze kwenye maisha ku value na kumpa thamani kila mtu unae kutana nae.. na lazima tujue kila mtu ana faida yake na umuhimu wake.. naogopa sana kuharibu aina yoyote ya connection maana sijui kesho yanguAhhahaha abdalah hanaga hizo....
Abdalah akishaamua weee..
Ila vizuri sana kaa uko hivyo..
Sio Kila unapokutana na mtu unawaza kumbandua tu,hutakia na marafiki na hutapata connection za maisha..
Kuna WA dada wako simple tu ila mkali WA hizi kazi....Sasa tatizo lenunnyinyi ukikutana na mdada tu eeee unatafuta namna ya "kumtanguliza lodge"
Eee
😊😊 za jioni kaka ? Bwana Yesu Afisifiwe. Familia inaendeleaje kaka mkubwamasai dada haya ni maigizo huyu ni mtu hatari sana
nilikuwa nakusubiria ulivyoniharibia kwa nuzu.....😬
😂 Kasema yeye sio kijana WA hovyoMan anzaga mbali😂😂😂
Niaje bro, habari za jioni ? Mie mzima kabisa.. mambo yanaendaje hapo home kakaMan anzaga mbali😂😂😂
masai dada usiwasikilize hao vijana.. wahuni sana😂 Kasema yeye sio kijana WA hovyo