Nipo hapa Manzese Kwa Mkwere napiga vyombo, wadau njooni basi tuliunge

Nipo hapa Manzese Kwa Mkwere napiga vyombo, wadau njooni basi tuliunge

Joto la siku mbili hizi kabla ya mvua.
Pia msimgubike sana nguo nyingi lakin pia msimuache bila nguo za wastani ....atavuka hiyo steji
Dah kuna mvua for the last three days hakuna joto Ningepost picha hapa ila bila ngumu ungeelewa. Mwanangu anasumbuliwa sana na allergies hajakuwa sawa. .
 
Thuubutuuu [emoji1787]
Jooo basi nakusubiri 😉😉
PXL_20230603_202028295.PORTRAIT.ORIGINAL.jpg
 
Ana miezi miwili
Kashasogeam..nilifikiri wiki za mwanzo ndo Huwa wanasumbua upele..
Hana allergy sema immunity Bado ipo chini so kama Kuna muingiloano mkubwa na watu wengine ataugua sana...
Mtoto asitoke nje wala asipakatwe na Kila mtu......
Mpaka afikishe miez 4 plus ...ampakate mama yake na dada WA kazi awe anabadilisha kanga zake na nguo na aoge asubuh akishamaliza kazi za hapa na pale..wasizid watu watatu wanaomshika mtoto.
Pia chek mafuta na sabuni
Na pia wewe ukitoka kazini oga kwanza.
Na mama yake aangalie vitu anavyokula kama wewe baba mtu vilikua vinakudhuru na yeye kwake vipo sawa anaweza akamuamishia mtoto....
Ila pole sana inaumiza kujua nini chanzo..
 
Back
Top Bottom