Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo wapi 😉😉Wewe unywe safari wenzio utunyweshe K-VANT [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Km pesa ya savannah ipo nije mkuu
hapa sio kwa mkweleNimepata mrembo wa kunipa kampani huyu apa, ila Nina wasiwasi sijui ametumwa View attachment 2644828
Apana! Kuna mzigo nlifata hapo mi nakaa mabiboUnaishi pande za sweet corner?
Acha ligi, ni kwamkwerehapa sio kwa mkwele
Mkuu utaumia huwa wanaagiza backet Hawa ohoooo!Upo wapi [emoji6][emoji6]
kama upo karibu hapa njooo uogelee savannah tani yako na chochote unachotaka
Uliingia tar 23 saiz hawana hata sumuniMshahara si umeingia [emoji1787]
poa brother nina lodge yangu shule ya uzuri inaitwa Upendo Lodge. Ukitaka kulala na goma Tua pale hutojutia🤣Acha ligi, ni kwamkwere
kumbeApana! Kuna mzigo nlifata hapo mi nakaa mabibo
Hiyo ni moshi mkuu sio dar
Hata walimu waje tena wanapga sn hiyoo safarOya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANTView attachment 2644759
baada ya kuumiza mfuko, nae anaumia kitandani ngoma drawMkuu utaumia huwa wanaagiza backet Hawa ohoooo!
I mean Mine ..Hiyo ni moshi mkuu sio dar
[emoji1787][emoji1787].."Hawana hata sumuni"Uliingia tar 23 saiz hawana hata sumuni
Full time Man city wameshinda...
Hakuna cha droo Wala Sare, pesa haifananishwi na chochote kile kiongozibaada ya kuumiza mfuko, nae anaumia kitandani ngoma draw
Mkuu kaoge umepauka sana, at end tafuta hela kilimanjaro niyawamaskini
Wife anapika...Mkuu kaoge umepauka sana, at end tafuta hela kilimanjaro niyawamaskini