Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ili umkule mke wangu ππππ2030 hiyooo, ili nije kuwa house boy wenuππ
Hovyo sana wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili umkule mke wangu ππππ2030 hiyooo, ili nije kuwa house boy wenuππ
wanawake wanadhalilika sana kwa pombe za bure ,ukicheki alivyo kaa ni mambo ya aibu kabisaNimepata mrembo wa kunipa kampani huyu apa, ila Nina wasiwasi sijui ametumwa View attachment 2644828
HatUNYwi pombe na mgonjwa wa akiliOya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANTView attachment 2644759
Mi mwema brooo, sio Kama National Anthem, Analyse au Gily ππIli umkule mke wangu ππππ
Hovyo sana wewe
Poor Brain umefanya maamuzi sahihπ€£ hawa majamaa huwa wana mate mengi mdomoni
Daaah! Tunatamanishana sasa. Kashasaula zote?
Na malipo ni muda gani sasa? Unamlipa kwanza au anakunywa bia zako na chakula kwanza?
Hapana siwezi fanya risk kama hiyo mkuuππππ
πππππ Mbona mnarushiana mpira sasa. .Poor Brain umefanya maamuzi sahihπ€£ hawa majamaa huwa wana mate mengi mdomoni
aiseeHuyu apa picha jingine ilo πππView attachment 2644846
imebidi nikaitizame, aiseeNimependa saa yake tuπ€£π€£π€£
naona anagida
Shawataarifu wanakuja hapo.Ndio
Bro nanjilinjii, maji yeyewe Ni shida, so lazima nipende kumeza mateπππ Poor BrainPoor Brain umefanya maamuzi sahihπ€£ hawa majamaa huwa wana mate mengi mdomoni
Acha hizo wewe..Bro nanjilinjii, maji yeyewe Ni shida, so lazima nipende kumeza mateπππ Poor Brain
Bro nipeni mchongo, nije kuosha kacho jamaniAcha hizo wewe..
Huku daslamu hakuna hayo mambo patakushinda
bangi haziewez kukuacha salamaBro nanjilinjii, maji yeyewe Ni shida, so lazima nipende kumeza mateπππ Poor Brain
π€£ aah wapπππππ Mbona mnarushiana mpira sasa. .
Nyie wote wale wale na mlivokua hovyo huwa mnaitana ππππ
ah kmmkπbangi haziewez kukuacha salama
ndio maana mshamba_hachekwi hajawah weka pich dp asiwe mchafu
Amepiga kwenye mshono enhhππah kmmkπ