albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
Nyumba ya vyumba vingapi hii
Je Imegharimu kiasi gani mpaka hapo?
Sent from my P00C using JamiiForums mobile app
Nimeanza ujenzi, kaa hapa tujenge pamoja
Miezi kadhaa nyuma niliomba ushari kuhusu ujenzi. Leo narudi tena kwenu. Wazoefu na wajuzi mnisaidie. Nitatumia tofali za kuchoma na ntajengea tope mpaka lenta ambapo ntamalizia kwa cement (ushauri wa fundi ni kwamba wakati wa upauaji tope halitahimili gonga gonga) Nimeanza na msingi na kesho...