Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Dogo ana I'd kama mvua yuleeππ, utashituka ana support hapa kwa kujipondea, ili baadae aseme mlimchokozaππAlikua mapepe sanaππππ sasa ataelewa ban huwa inauma vipi!
Kumbe kalishwa ban..!! Kisa cha kulishwa ban ni nini? Zile dislike au naye alimtukana mtu?karibu sana kijana.... adui yako ye34nbe kala ban mmebadilishana π
Tukutafutie BAN nyingine au tukuacheache kwanzzaHabari wanajamii....
Natumai wote ni buheri wa afya njema sana...
Nielekee kwenye hoja halisi moja kwa moja...Leo nimefunguliwa kutokana na adhabu niliyopewa hapo majuzijuzi na mods baada ya kupigwa ban shauri ya uchokozi nilioufanya baada ya kumfungulia uzi kijana alikua anasababisha taharuki kwa kutumia reaction ya dislike ndivyo sivyo...
Sasa nimerejea tena na nina amani tele moyoni wangu....
Nawakaribisha hapa tena tuungane na kuendelea kuchagizana na mastory mengi kama tulivyokuwa hapo awali!
Ahsante...
Dogo ana I'd Kama mvua, usishangae ana kuja kujipondea piaππ. Halafu aseme mlimchokozaHalafu alisema kwa kujisifu na matambo kuwa hawezi kula ban ,leo yupo kifungoni so sad #FreeYe34nbe
Bado haita saidia maana alisema yeye ni maarufu humuππππNa mwandiko wake unajulikana πππsijui atakuja kwa gia gani sasa!Dogo ana I'd kama mvua yuleeππ, utashituka ana support hapa kwa kujipondea, ili baadae aseme mlimchokozaππ
Hata Mr Liverpool VPN alimuita dogo ni upnd ππDah! adriz acha kukariri mambo ya ajabu nduguππππ imekua kama tebo sasa!
Hio ban ilisababishwa na mzee wa dislike bila shakaππ niliona akikusagia kunguni Kwa mods kwenye Uzi wakoHabari wanajamii....
Natumai wote ni buheri wa afya njema sana...
Nielekee kwenye hoja halisi moja kwa moja...Leo nimefunguliwa kutokana na adhabu niliyopewa hapo majuzijuzi na mods baada ya kupigwa ban shauri ya uchokozi nilioufanya baada ya kumfungulia uzi kijana alikua anasababisha taharuki kwa kutumia reaction ya dislike ndivyo sivyo...
Sasa nimerejea tena na nina amani tele moyoni wangu....
Nawakaribisha hapa tena tuungane na kuendelea kuchagizana na mastory mengi kama tulivyokuwa hapo awali!
Ahsante...
Dah! Niache kwanza ππππTukutafutie BAN nyingine au tukuacheache kwanzza
Hahahaaa! Noma sanaππππHata Mr Liverpool VPN alimuita dogo ni upnd ππ
Ko alikuwa anatafuta umaarufu kwa dislikeππ, sema aliupata maana Kuna watu walianzisha Hadi UziππBado haita saidia maana alisema yeye ni maarufu humuππππNa mwandiko wake unajulikana πππsijui atakuja kwa gia gani sasa!
Nikweli ππππHio ban ilisababishwa na mzee wa dislike bila shakaππ niliona akikusagia kunguni Kwa mods kwenye Uzi wako
Sema mi alinambia hawezi nipa dislike, ππHahahaaa! Noma sanaππππ
Karibu sana kijanaHabari wanajamii....
Natumai wote ni buheri wa afya njema sana...
Nielekee kwenye hoja halisi moja kwa moja...Leo nimefunguliwa kutokana na adhabu niliyopewa hapo majuzijuzi na mods baada ya kupigwa ban shauri ya uchokozi nilioufanya baada ya kumfungulia uzi kijana alikua anasababisha taharuki kwa kutumia reaction ya dislike ndivyo sivyo...
Sasa nimerejea tena na nina amani tele moyoni wangu....
Nawakaribisha hapa tena tuungane na kuendelea kuchagizana na mastory mengi kama tulivyokuwa hapo awali!
Ahsante...
Alikua anachagua watu ππππ akihisi wote mpo serikalini maana ni mzee wa kuzama pm sana...mimi nilimtoa nduki hapo ndio tatizo likaanzaππππSema mi alinambia hawezi nipa dislike, ππ
Sasa inakuwaje wamshukie members wengine lakini ban ule wewe..??Hapana sikumtusi ila members walimshukia vikali sana hadi kumdhalilisha mbele ya umma!
Mods walifuta dislike zote maana alinipiga dislike 117 Kwa sikuNikweli ππππ
π€£π€£π€£π€£ile ID mpya ilishaanza zoelekaHabari wanajamii....
Natumai wote ni buheri wa afya njema sana...
Nielekee kwenye hoja halisi moja kwa moja...Leo nimefunguliwa kutokana na adhabu niliyopewa hapo majuzijuzi na mods baada ya kupigwa ban shauri ya uchokozi nilioufanya baada ya kumfungulia uzi kijana alikua anasababisha taharuki kwa kutumia reaction ya dislike ndivyo sivyo...
Sasa nimerejea tena na nina amani tele moyoni wangu....
Nawakaribisha hapa tena tuungane na kuendelea kuchagizana na mastory mengi kama tulivyokuwa hapo awali!
Ahsante...
Alikua na umama mwingiππππhadi mademu wanamchana ila akajikaza kisabuniππππKo alikuwa anatafuta umaarufu kwa dislikeππ, sema aliupata maana Kuna watu walianzisha Hadi Uziππ
Nitakua naitumia kwa story za maisha yangu halisi..πππ pia kuna story ya kukimbiwa na wife kule pita uichekiππππ€£π€£π€£π€£ile ID mpya ilishaanza zoeleka
Alikua anakera sanaπππ duh! Dislike 117πππMods walifuta dislike zote maana alinipiga dislike 117 Kwa siku