mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
ni first year ๐Sema dogo ana ugonjwa wa kutafuta attention seeker
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni first year ๐Sema dogo ana ugonjwa wa kutafuta attention seeker
Mi mwizi wa kimataifa tu, na mchimba chumvi tu ๐๐.Alikua anachagua watu ๐๐๐๐ akihisi wote mpo serikalini maana ni mzee wa kuzama pm sana...mimi nilimtoa nduki hapo ndio tatizo likaanza๐๐๐๐
Hadi tulizompa kwa kulipa ki??
Kwenye Uzi wake adi kufikia Jana ulikua na dislike28 nadhani hawajafutaHadi tulizompa kwa kulipa kisasi nazo walizifuta??
Na atadisco najua yupo humu saa hii๐๐ni first year ๐
Dah madogo Hawa hawaeleweki, Kama wana take kuoga au kunya๐๐ni first year ๐
๐ค๐ค๐ค Nasikia wingu zito limetanda apo daslamNje ya Mada:
Nasikia Kuna kiwanda kinaungua hapo maeneo ya Vingunguti machinjioni aliekaribu na hapo atupe updates
Anaipenda jf kinyama, huenda ilikuwa ndoto yake. Kabla ya kuwa na simu๐๐ mshamba_hachekwiNa atadisco najua yupo humu saa hii๐๐
Mimi mmoja wapo dah! Ile ban iliniuma sana...๐๐๐๐Sema Kuna watu aliwasomesha namba๐๐
yupo anajiita Voice of Tanzania ๐Na atadisco najua yupo humu saa hii๐๐
Nimemuona anafuata nyayo za mwenzie๐๐๐๐kua makini yupo anajiita Voice of Tanzania ๐
Kuna id humu nahisi ni za mtu mmoja๐๐ Kitimoto nahisi ni ya huyu mzee wa dislikeAnaipenda jf kinyama, huenda ilikuwa ndoto yake. Kabla ya kuwa na simu๐๐ mshamba_hachekwi
ni stage tu ๐Dah madogo Hawa hawaeleweki, Kama wana take kuoga au kunya๐๐
Mbona I'd ya kitambo sanakua makini yupo anajiita Voice of Tanzania ๐
๐๐๐๐๐ eti ilikua ndoto yake๐๐๐๐Anaipenda jf kinyama, huenda ilikuwa ndoto yake. Kabla ya kuwa na simu๐๐ mshamba_hachekwi
haeleweki ๐ kuna ya Mzee wa RedMbona I'd ya kitambo sana
Ipo kule kwenye Id mpya AlmightyGodWapiii mbna sijaonaa kanitag [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bannedhaeleweki ๐ kuna ya Mzee wa Red
Mi nilishasema, I mean no malice to nobody ๐๐. Ila ukilianzisha umeisha๐๐Mimi mmoja wapo dah! Ile ban iliniuma sana...๐๐๐๐
hongera sanaHabari wanajamii....
Natumai wote ni buheri wa afya njema sana...
Nielekee kwenye hoja halisi moja kwa moja...Leo nimefunguliwa kutokana na adhabu niliyopewa hapo majuzijuzi na mods baada ya kupigwa ban shauri ya uchokozi nilioufanya baada ya kumfungulia uzi kijana alikua anasababisha taharuki kwa kutumia reaction ya dislike ndivyo sivyo...
Sasa nimerejea tena na nina amani tele moyoni wangu....
Nawakaribisha hapa tena tuungane na kuendelea kuchagizana na mastory mengi kama tulivyokuwa hapo awali!
Ahsante...