Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hapana, nahisi hayuko hivyoAnaomba ela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, nahisi hayuko hivyoAnaomba ela?
Kanitag sasa.Ipo kule kwenye Id mpya AlmightyGod
nyie wanafki na wabaya sasa 😂
Kumbe tulikuwa wengi na mi niangalie ka id kangu labda nimerudi uraianiHabari wanajamii....
Natumai wote ni buheri wa afya njema sana...
Nielekee kwenye hoja halisi moja kwa moja...Leo nimefunguliwa kutokana na adhabu niliyopewa hapo majuzijuzi na mods baada ya kupigwa ban shauri ya uchokozi nilioufanya baada ya kumfungulia uzi kijana alikua anasababisha taharuki kwa kutumia reaction ya dislike ndivyo sivyo...
Sasa nimerejea tena na nina amani tele moyoni wangu....
Nawakaribisha hapa tena tuungane na kuendelea kuchagizana na mastory mengi kama tulivyokuwa hapo awali!
Ahsante...
Iam innocentnyie wanafki na wabaya sasa 😂
Usishangilie Sana, Akirudi ni Kama mafuriko😂😂Wamempiga ban nae mweee jaman hatimaye tumeshinda rest in hell
Jamaa yako ana acc kibao na shida yake muandiko wake haujifichi hadi mods wamemkariri. Kuna kipindi ilikua akifungua tu acc mpya wanamla kichwa.kua makini yupo anajiita Voice of Tanzania 😂
kumbe ni wa mda mrefu....Kuna kipindi ilikua akifungua tu acc mpya wanamla kichwa.
*****😂😂, Eti voice🤔🤔, labda v.uzii 😂😂kua makini yupo anajiita Voice of Tanzania 😂
Kitambo Sana, ndo Mana nilihisi wewe na yeye ni 1kumbe ni wa mda mrefu....
Sio muda mrefu ni wa juzi juzi tu hapa.kumbe ni wa mda mrefu....
endelea kuandika upuuzi utakula ban 😂*****😂😂, Eti voice🤔🤔, labda v.uzii 😂😂
imesaidia saidia nimeona wadada wanamshobokea😂Sio muda mrefu ni wa juzi juzi tu hapa.
Sema wewe so mdau ningekupa web ambayo haina masharti full kujachiaHabari wanajamii....
Natumai wote ni buheri wa afya njema sana...
Nielekee kwenye hoja halisi moja kwa moja...Leo nimefunguliwa kutokana na adhabu niliyopewa hapo majuzijuzi na mods baada ya kupigwa ban shauri ya uchokozi nilioufanya baada ya kumfungulia uzi kijana alikua anasababisha taharuki kwa kutumia reaction ya dislike ndivyo sivyo...
Sasa nimerejea tena na nina amani tele moyoni wangu....
Nawakaribisha hapa tena tuungane na kuendelea kuchagizana na mastory mengi kama tulivyokuwa hapo awali!
Ahsante...
Kosa langu liko wapi😂😂 v.endelea kuandika upuuzi utakula ban 😂
mimi nina id 1 tu ndo maana najitahidi siandiki upuuzi😂Kitambo Sana, ndo Mana nilihisi wewe na yeye ni 1
Ina onekana ilikuuma Sana. Yeye kushibokewa na mademu😂😂imesaidia saidia nimeona wadada wanamshobokea😂
madem wenyewe ukute ni maupinde tu 🚮🚮Ina onekana ilikuuma Sana. Yeye kushibokewa na mademu😂😂