Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Wanawake mnanafikiana sana hata huku njiani tunawaona ila hatuwaambiii ukweli.. olewa mumeo akawe rafiki yako acha kuendekeza ushirikinaJamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)
Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....
Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
Bado sitaki kuondoka
Sasa kwanini usirudi kwenu, hauna wazazi au kwenu unakotoka?
Wee ulihamia na bag kabisa?Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)
Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....
Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
Hee, wiki 2 uko kwa rafiki loh. Ana matatizo gani hadi ukae naye siku zote hizo. Huna shughuli ya kufanya? Mambo mengine tunajitakia, unakaaje kwa rafiki wiki zaidi ya moja eti kumpa kampani. Ungekuwa na issue unafuatilia hapo sawa.Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)
Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....
Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
Hapa ndo ratizo linapoanzia! Naanza kumuelewa rafiki wa rafiki yakoBado sitaki kuondoka
Kuolewa ni majaliwa, Kuzaa ni lazima! No doubting my palmate keep God first 🤰🏽Kuolewa is my last last last last lasttttttttttttttt OPTION
Madam una taka afukuzwe usiku ehh?Usiondoke shoga angu
Raha ya maisha heka heka, tena wakikukera uwe unawaekea na taarabu ili wasikuzoee kabisa.
Na mumeo niko stendi ya magufuli hapa 😁🤣Kuolewa is my last last last last lasttttttttttttttt OPTION
Shida ni hiyo ondoka kashakuona kikwazo kwakeYani nilibeba suitcase kabisa
Haya kuja haraka hapa Facebook restaurant, una pajua?We upo stendi mkeo nachambwa huku niondoke kwa watu🤣🤣
tukiwa na jogoo + mbuzi. wetuNtakuja kukupa company stendi🤣🤣🤣