Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

God is good
IMG_20250227_120430_643.jpg


All the time 💕​
 
Kwanini hushirikiani na mwenzio ? Kuitwa kwake ndo kwenda kama tegemezi ? Kama umeshindwa kuonesha support yako ondoka urudi unakohudumiwa kila kitu bure , maisha ya sasa hivi ni magumu sana hivyo yakupasa uelewe na ujielewe .
 
Ukuaji mzuri sharti uende sambamba baina ya kuongezeka miaka na uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo. Usikue kwa mantiki ya kuongezeka miaka tu
 
Back
Top Bottom