Siwezi acha msosi kisa Dem😁🤣Nikiondoka hapa watanifungia mlango🤣🤣we nifate huku tujibane tuwe wawili,,
😹😹😹
Hakuja😹Yule dogo hakuja kubeba🤣
serious niko nakula, we endelea kubishana ndani!Mimi sio "msosi" Tena😹😹😹
Wapi?Niagizie huku basi na ww
God is good
Huku si nyimbo ya tommy flavor 😂😁Huku kwa rafiki yangu ila tupo wadada watatu eh
Eeh! Twende DM mtoto mzuri 😘Mbona anafanan na mimi